Ulipotelea wapi we mdada?misheni town wa ukweri..
Ulipotelea wapi we mdada?
Dah!mie huwa cmweli kbs maana anaongea mambo mengi kwa wakati mmoja mpaka anasahau topic husika yan dah!
aliwahi kukataza kunywa maji baada ya kula.. Eti anadai unapofanya hivyo,unafanya chakula kichache tumboni!
Akashauri maji yanywewe baada ya nusu saa kupita baada ya kula!
Mbali na udaktari wa mitishamba pia ana kipaji cha kuongea maneno 100 kwa sekunde
aliwahi kukataza kunywa maji baada ya kula.. Eti anadai unapofanya hivyo,unafanya chakula kichache tumboni!
Akashauri maji yanywewe baada ya nusu saa kupita baada ya kula!
Huyu jamaa bana,nilishawahi kumckia akisema eti binadam hatuna akili tunashindwa na panya wanakula mahindi ambayo hayajakobolewa yenye virutubisho vyote na sie kujali kula sembe na makande ambayo hayana virutubisho ndio maana wagonjwa wa sukari na vidonda vya tumbo wameongezeka!
Hayo maelezo yake ni ya kweli kabisa wala hadanganyi na kama huamini fanya majaribio mwenyewe
Huyu jamaa bana,nilishawahi kumckia akisema eti binadam hatuna akili tunashindwa na panya wanakula mahindi ambayo hayajakobolewa yenye virutubisho vyote na sie kujali kula sembe na makande ambayo hayana virutubisho ndio maana wagonjwa wa sukari na vidonda vya tumbo wameongezeka!
Hivi panya hawana vidonda vya tumbo eh? Ama kwa vile hajawahi kuwaona wakipanga foleni kwake kutibiwa?
aliwahi kukataza kunywa maji baada ya kula.. Eti anadai unapofanya hivyo,unafanya chakula kichache tumboni!
Akashauri maji yanywewe baada ya nusu saa kupita baada ya kula!
aliwahi kukataza kunywa maji baada ya kula.. Eti anadai unapofanya hivyo,unafanya chakula kichache tumboni!
Akashauri maji yanywewe baada ya nusu saa kupita baada ya kula!