Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Status
Not open for further replies.
Kikubwa ni ile kamati ya maaskofu inayokuwepo pale wakati wa usahihishaji na kupanga matokeo pia upendeleo unaotolewa kwa shule za kanisa. Mfano Mdogo ni shule moja ya kiislamu kule Bukoba jina nalihifadhi ni ya kiislamu. Ilifaulisha wanafunzi wengi kuliko Mau na St francis ikafutiwa matokeo. Na kadhia ya 2011 shule za zanzibar kufutiwa matokeo kwa kufaulu sana.:redface:

hataponda awasahishie kama mtu kilaza ni kilaza tu!
 
Khafirs are runing this world are u there? And fr6 now am proud to be called khafir
 
Smart move kwa waislam kuandamana bila taarifa yoyote, maana iwapo yangetangazwa wahuni wa c*m wangevamia na kusababisha maafa ionekane waislam ni wavunja amani. Mission accomplished, Ndugu zetu wameshaachiwa na kesi zitafutwa kimya kimya au watapigwa faini ya shilingi elfu mbili (2000) kila mmoja ili iwe fundisho kwa wengine (teh teh teh).

Mkuu sitakuhamini kuwa polisi kupitia inteligesia yao walikuwa hawana hizo taarifa za maandamano coz hata walivyokuwa wanaingia Ghana Avenue walikuja msafara jiji hili kila mtaa kuna polisi siyo trafik wapi wa tigo/voda fasta na pikipiki....Kuna maswali za 100 unaweza kujiuliza ila kwasasa siyo ya msingi sana na kikubwa hakukutokea maafa. Sasa wameshawaarifu kuwa Next Move ni NECTA Je watafanikiwa?
 
Difference is for those who work smart and for those who work harder. Who are working harder and who are smart workers? the fools always cant realise the right way of move and incase of success it is always of very litle and they retire, the one old long man realised that who he works smart will win the war and who he wade the gun will takeover the chance. It is ur time
 
labda wanataka nchi iwe ya kiislamu ndio tujue moja
tanzania haina dini kila mtu akiamua kuandamana kisa udini nani atakuwa kiongozi?
tatizo la hawa jamaa elimu ndogo na wanadhani watoto wao wanafelishwa
kwao akiwepo muislamu hata kama mtoto hana akili atafaulu.
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!

kabisaa..Yani tunataka..nchi yetu na dunia iongozwe kwa misingi ya dini ya haki kutoka kwa allah...
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyin
yi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!

kabisaa..Yani tunataka..nchi yetu na dunia iongozwe kwa misingi ya dini ya haki kutoka kwa allah...
 
Mkuu sitakuhamini kuwa polisi kupitia inteligesia yao walikuwa hawana hizo taarifa za maandamano coz hata walivyokuwa wanaingia Ghana Avenue walikuja msafara jiji hili kila mtaa kuna polisi siyo trafik wapi wa tigo/voda fasta na pikipiki....Kuna maswali za 100 unaweza kujiuliza ila kwasasa siyo ya msingi sana na kikubwa hakukutokea maafa. Sasa wameshawaarifu kuwa Next Move ni NECTA Je watafanikiwa?

Mkuu wewe ulikuwa hutaki waandamane.
 
Mkuu wewe ulikuwa hutaki waandamane.

Nia haki ya kuandamana mkuu kama umesoma hapo juu utaelewa nilichokuwa nataka kusema hoja yangu ili ni kutilia shaka swala la kusema kuwa polisi walikuwa hawataarifa wala fununu ya hayo maandamano
 
Panga pangua Ijumaa ijayo waislam wataandamana kwenda NECTA(Mwenge) au MoE(Posta), mara baada ya swala ya ijumaa, na lazima Joyce Nderichako ataachia ngazi.

Kama maandamano yaliyopita wamefanikiwa basi wako tayari kwa hili na wanauhakika watafanikiwa pia.

Haya yote yataendelea kutokea kwa kuwa JK na chama chake walipalilia udini ili uwe mtaji wao wa kisiasa. Na haya ndio matokeo yake.

Ombi langu kwa serikali na jeshi la polisi kuepusha matumizi yoyote ya nguvu dhidi ya maandamano haya kwani yatazaa vifo vingi na uharibifu mkubwa wa mali ukiwemo uchomaji wa makanisa.
 
Panga pangua Ijumaa ijayo waislam wataandamana kwenda NECTA(Mwenge) au MoE(Posta), mara baada ya swala ya ijumaa, na lazima Joyce Nderichako ataachia ngazi.

Kama maandamano yaliyopita wamefanikiwa basi wako tayari kwa hili na wanauhakika watafanikiwa pia.

Haya yote yataendelea kutokea kwa kuwa JK na chama chake walipalilia udini ili uwe mtaji wao wa kisiasa. Na haya ndio matokeo yake.

Ombi langu kwa serikali na jeshi la polisi kuepusha matumizi yoyote ya nguvu dhidi ya maandamano haya kwani yatazaa vifo vingi na uharibifu mkubwa wa mali ukiwemo uchomaji wa makanisa.

Umeiweka sawa mkuu.hofu yangu ni pale hii hali itakapo jenga mazoea na wengine waamue kufanya hivyo.Wataweza kuwatekelezea wote?
 
Haya, kama serikali imeruhusu iendeshwe kwa misingi hii, yetu macho...mtu akianza kula nyama ya mtu hatoacha ataendelea tuuu....

Nashauri na wakristu nao waanzishe maandamano kumtoa raisi za znz, hindu nao kumuondoa waziri wa ardhi,

Mimi nadhani tukubaliane nafasi ya dini zetu ibaki kushauri tuu, vinginevyo tutatengeneza taifa lenye ubaguzi wa kidini. Mfano sasa hivi ni wazi baadhi ya wakristu kwa waislamu wataanza kubaguana makazini. Sio kitu kizuri...

Wakifanikiwa Necta wataenda wizara ya afya na kwingineko..
 
Kaka mawazo yako ni hayo basi ngoja tujipange ila hatutotaka cdm iwe cuf bali maandamano tutayaelekeza kwa tendwa kuwa cdm ifutwe ni chama cha kanisa. Hapo unasemaje. Na ivi tendwa ameshazungumzia ndio atapata nguvu na hapo hapo kitafutwa. Ngoja tuorganize. Mtajuta kutoa wazo. Tutaungana na tendwa kuhakikisha uchaguzi ujao hakipo.

kwa serikali zaifffffffffffffffffffffffff mnaweza
 
Mkuu maneno ya kamanda Mnyika kuhusu dhaifu inadhibitika kidogo kidogo.lets wait n see

Hili suala la udini JK tateseka nalo sana, ni chanzo cha mvurugano,Ukisikia nchi haitawaliki, ndo hapo kuendekeza udini.Mfumo wa sheria na utawala hauwezi kuendeshwa kwa misingi ya kidini.hata jana, ni kosa la usimamizi wa sheria, kama je maandamano hayo yalikuwa na kibali?je muda wa sensa ulikuwa umeisha?na je waliokamatwa , walikamatwa kimakosa sababu sheria ya sensa hairuhusu kumkamata mtu aliyekataa kuhesabiwa?na kama sheria ilitumika kiufasaha, hapa dini inatumika vipi kuendesha sheria?ni mara ngapi polisi wanasisitiza utiii bila shuruti hasa kova, je jana mbona hakuwapiga mabomu?ina maana hizi sheria za nchi zinaendeshwa na dni ya kiislam ?kwa mtakabari huo hatuna watawala wala wasimimizi wa sheria , kova mwislam, mwema mwislam, kawambwa, mwislam, JK mwislam, kwahiyo ndalichako lazima aondolewe na waislam, na si uwezo na mfumi sahihi bila kujali dini?
 

Hili suala la udini JK tateseka nalo sana, ni chanzo cha mvurugano,Ukisikia nchi haitawaliki, ndo hapo kuendekeza udini.Mfumo wa sheria na utawala hauwezi kuendeshwa kwa misingi ya kidini.hata jana, ni kosa la usimamizi wa sheria, kama je maandamano hayo yalikuwa na kibali?je muda wa sensa ulikuwa umeisha?na je waliokamatwa , walikamatwa kimakosa sababu sheria ya sensa hairuhusu kumkamata mtu aliyekataa kuhesabiwa?na kama sheria ilitumika kiufasaha, hapa dini inatumika vipi kuendesha sheria?ni mara ngapi polisi wanasisitiza utiii bila shuruti hasa kova, je jana mbona hakuwapiga mabomu?ina maana hizi sheria za nchi zinaendeshwa na dni ya kiislam ?kwa mtakabari huo hatuna watawala wala wasimimizi wa sheria , kova mwislam, mwema mwislam, kawambwa, mwislam, JK mwislam, kwahiyo ndalichako lazima aondolewe na waislam, na si uwezo na mfumi sahihi bila kujali dini?

Kupelwa ntarudi mkuu umemtaja mzee wa fileme aka kamanda wa kanda special reminds me mengi sana.sijui ile episode imeshaingia sokoni....
 
kosa la Ndalichako ni kuwa KAFIR, kwani mpango wetu ni kuhakikisha nafasi zote muhimu ndani ya nchi zinashikwa na watu wa DINI YETU!Tukimaliza Ndalichako tutamfuatilia mtoto wa mkulima kwani ndio pekee anatia kiwingu pale juu! nyinyi endeleeni kulala sisi tupo kazini mpaka kieleweke!
hapa naona ndalichako analindwa na wadau wengi wa jf kwakuwa yeye ni Mkiristo tu. lkn ni wazi NECTA kimekuwa kichaka cha kanisa. Wengi wakiristo wanaopta daraja la 1 la necta wakiingia Univ wanakuwa mzigo kwa taifa
 
Difference is for those who work smart and for those who work harder. Who are working harder and who are smart workers? the fools always cant realise the right way of move and incase of success it is always of very litle and they retire, the one old long man realised that who he works smart will win the war and who he wade the gun will takeover the chance. It is ur time

Fugees there is thin line btn smart and dirt
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom