Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Dr. Ndarichako jipange ur next.....

Status
Not open for further replies.
kwaio mnapambana kuzuia dhulma ipi mkuu??

kuna dhulma ya dhahiri na ya kificho ! Zote mbili tunapambana nazo, kama ya kuambiwa Waislaam ni wajinga na hawataki shule, kwamba OIC ni udini ila M o U si udini,
 
kuna dhulma ya dhahiri na ya kificho ! Zote mbili tunapambana nazo, kama ya kuambiwa Waislaam ni wajinga na hawataki shule, kwamba OIC ni udini ila M o U si udini,

mnapambana kuambiwa hamtaki shule???sasa kama mnataka na mnapenda shule ayo maneno yanawanyima vipi raha??


KWA IYO HII DHULMA MNAYOPAMBANA NAYO INAFANYWA NA NANI??
 
As long as JK yupo madarakani, hawa wavaa suruali fupi, they are like free molecule.... Lakini ili la nderichako hawa jamaa hawako sahihi, kwani wao wame-invest kwenye elimu ahera... Matokeo yake elimu duninawafanya kitu mbaya...
umeshawazowea
jamaa unapoandika huwa na larger pembeni? naona kama umelewa chakariiiii kwenada zako huko na fikra za kitwaghutwii! tumeshawazowea vichigo nongo!
 
hata bado hilo nalo neno? kutesa kwa zamu ! mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu kama(islam) sie mchungu.JK keep it up! bravo!!!!!!!! merci!!! shukranllak!!!!!!!!!!!waache waseme sisi bado twakupenda .hawana hata haya aibu ama kweli nyani hauni kundule ! sasa wale wapemba walioteswa na mkapa walikuwa si binnaadamu? ama kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
hata bado hilo nalo neno? kutesa kwa zamu ! mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu kama(islam) sie mchungu.JK keep it up! bravo!!!!!!!! merci!!! shukranllak!!!!!!!!!!!waache waseme sisi bado twakupenda .hawana hata haya aibu ama kweli nyani hauni kundule ! sasa wale wapemba walioteswa na mkapa walikuwa si binnaadamu? ama kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
mnapambana kuambiwa hamtaki shule???sasa kama mnataka na mnapenda shule ayo maneno yanawanyima vipi raha??


KWA IYO HII DHULMA MNAYOPAMBANA NAYO INAFANYWA NA NANI??

nimekwambia kuna dhulma ya dhahiri na kificho, tumia akili yako kidogo. Hivi unaamini Waislaam hawataki kusoma/shule ? Hivi unaamini Afghan westerners ni ugaidi tu ndo unawagharimi hivyo, je Warusi nao walipoikali ilikuwa ni ugaidi ? Ukweli nini ?
 
mzee ninamashaka sana na uelewa wako na hasa hiyo elimu unayodai uanayo! sifahamu nyinyi ndugu zetu huwa mnasimamia lipi, mara oooh sisi tunaonewa wakristo waliosoma ni wengi kuliko sisi! wewe hapa tena unawashangaa wanaosema waislam hawana elimu, sasa tushike lipi kaka?Ni heri kuwa na kipara kuliko akili kuendeleshwa na mizimu kama jina lako! Nadhani tatizo lako ni EXPOSURE at the global level, unaposema nyinyi ni watu wakushirikiana na dini nyingine ni nani unaemdanganya? Hivi wale boko haram pale Nigeria, al quaida, Al shabab, hamas na magroup mengi ya kiuaji ndio unaita MASHIRIKIANO NA WATU WENGINE? Hivi kuchoma makanisa zanzibar, kutaka nchi ijiunge na jumuia za kiislam hayo yote ndio kujenga mahusiano? Watu duniani uislamu unamahusuano mazuri na jamii? Kulipua watu na kujilipua ndio mahusiano mazuri na IMANI YA HAKI mnayojaribu kutuhubiria? Hakuna mtu mwenye ufahamu hata kidogo tu uislam unaweza kumshawishi kwamba ni dini ya amani hata kidogo kaka! Nadhani mnamahaba tu na imani yenu lkn ukweli ni kwamba watu wengi wameweka wazi ukweli wa hiyo imani unaiyoiita inajenga mahusiano na wengine. Vitabu vimeandikwa vingi kuweka wazi kinachoendelea na hakuna muislam aliyejibu hoja zaidi ya jazba za kutaka kuwaua wanaowaweka wazi. Muzxijibu hoja ambazo zinarushwa kwenu basi ili tuelewe which is which! Kunyamaza kimya kwa watu wa imani nyingine haimaanishi wanawaogopa kama ambavyo unataka tuamini kwa kututishia na unachokiita NGUVU YA UISLAM!Ni kweli kaka nguvu ya uislam ni mauaji na vurugu tunajua sana huihitajiki kutueleza! Bado na sifa hiyo ya kijinga uliyotuambia mwenyewe bado unaiita DINI YA HAKI? kweli mwenye mapenzi haoni hata kama macho cha anayo! Au ndio hiyo mizimu? Hakuna utayemtisha na hicho unachoita nguvu ya uislam, hizo nguvu unazotaka kututisha nazo wapi duniani mlishinda? Na kama nyinyi mna nguvu mbona kucha kutwa mnalaamika? kwa nini msitumie hizo nguvu basi? Kwani kaka unadhani nguvu ni makelele? au kipi kinachokupa kiburi kwamaba mna nguvu? Kama mnanguvu mbona kila siku mnadundwa na israel? hamjiulizi tu why nyinyi wote na gubu lenu mkisogea israel mnapata kichapo? FIKIRI KAKA, KUNYWA KAHAWA NYINGI SI WINGI WA NGUVU NA AKILI!TAFAKARI NA CHUKUA HATUA! ACHA KUTISHA WATU NA UHALIFU!
Wanaonukuru wanaukuru vizuri, Kolero hawezi kuwa na msimamo kama huo, muda wote anajua anchoandika,kumbe Mkuu hiyo thread siyo "By Kolero" kama ilivyondani ya Boksi.
 
kuna dhulma ya dhahiri na ya kificho ! Zote mbili tunapambana nazo, kama ya kuambiwa Waislaam ni wajinga na hawataki shule, kwamba OIC ni udini ila M o U si udini,

Mkuu Ndarichako ndo anawabania?Lakini mbona wapo wengi ambao wamefanya na wanaendelea kufanya vizuri na wote majibu yao yanapitia Necta.katika ili nafikiri tungeinvest kwenye system na siyo mtu....coz mnaweza kumuondoa Ndalichako na bado hali ikaendelea.Lets be objective on diz
 
nimekwambia kuna dhulma ya dhahiri na kificho, tumia akili yako kidogo. Hivi unaamini Waislaam hawataki kusoma/shule ? Hivi unaamini Afghan westerners ni ugaidi tu ndo unawagharimi hivyo, je Warusi nao walipoikali ilikuwa ni ugaidi ? Ukweli nini ?

Sasa mkuu if i may ask NECTA ni hatua ya mwisho baada ya mtu kusoma na kufanya mitihani.wao kazi yao ni kuratibu kutunga,kusahisha na kutoa matokeo.napata shida kuconnect the dot kuwa necta wanazuiaje waislam kwenda shule?Na je kinachowanyima haki waislam ni Mtu au Mfumo?
 
Tazama, nchi inaoongozwa na sheria sio utashi wa akina komba. Kumbuka nchi hii imewadhulumu waislam kwa muda mrefu na sasa lazima kieleweke. Amani ya maono ya marehemu nyerere sasa haina tena nafasi kwenye nchi hii.
Jamani eeeh tumewachoka na makelele yenu! Kama mmechoka fanyeni hicho mnachotaka kufanya basi ili tuone hayo maguvu yenu! Dunia hii ni ya mfumo kristo na ndiye pekee aliye kweli na uzima. Wengine wote ni wevi tu ndivyo biblia inavyosema full stop! Chukia upasuke huo ndio ukweli DUNIA HII NI YA MFUMO KRISTO FULL STOP!
 
Alikuwa na uhakika na ndio maana hata alipotakiwa kufuta kauli yake alikataa. Hata kama ni mimi nisingefuta kauli ya kweli kwa uzembe, upuuzi na udhaifu wa wazi.........JK Dhaifu ati!!
 
wakimaliza hapo wataandamana kudai chadema iwe kafu, na watafanikiwa... kisha wataandamana tena kusema bara iitwe zanzibar na zanzibar iitew visiwani, watafanikiwa

wakimaliza watasema baraza lote wapange wao, watafanikiwa pia

zaifffffffffffffffffffffffffffffff
Hili hapa ni la kweli lakini umeliweka mno katika mtindo wa comedy, nachojua sasa hivi baada ya cuf na ccm kuungana kule zenji, hawa jamaa waliandamana mpaka mahonda kudai kiti chao UN, haukupita muda tukagundua hata mjane wa karume alikuwa pamoja nao. sasa hivi Tanzania inao marais watano (watatu zenji na wawili Bara) wote ni wa dini yao, lakini hawaridhiki, wanataka hata hako kanafasi ka mtoto wa mkulima kwa hiyo choko choko zinaanzia kwa ndalichako, kama kweli wanataka kuiwajibisha wizara kwa nini wasitake Kawambwa ajiuzulu halafu nafasi yake ichukuliwe Anne Kilango malechela? (hapo kwenye red nina maana mtu ambeye sio wa mrengo wao kiimani). Napenda kumkumbusha rais wangu mheshimiwa sana JK, hii mbegu ya udini aliipanda yeye kama silaha ya kushindia uchanguzi kwa kipindi chake cha pili, lakini wahenga walisema, "Mchimba kisima huwa anaanza kutumbukia mwenyewe" sidhani kama tutafika 2015 kabla hawajaanza kumcharaza viboko. yeye kwa mtazamo wake anafikiri adui yake mkuu ni CHADEMA lakini ukiangalia kwa makini hili taifa kwa sasa linaangamizwa na udini alioupanda yeye mwenyewe. Alichowaahidi imekuwa vigumu kuwatekelezea.
 
Hili hapa ni la kweli lakini umeliweka mno katika mtindo wa comedy, nachojua sasa hivi baada ya cuf na ccm kuungana kule zenji, hawa jamaa waliandamana mpaka mahonda kudai kiti chao UN, haukupita muda tukagundua hata mjane wa karume alikuwa pamoja nao. sasa hivi Tanzania inao marais watano (watatu zenji na wawili Bara) wote ni wa dini yao, lakini hawaridhiki, wanataka hata hako kanafasi ka mtoto wa mkulima kwa hiyo choko choko zinaanzia kwa ndalichako, kama kweli wanataka kuiwajibisha wizara kwa nini wasitake Kawambwa ajiuzulu halafu nafasi yake ichukuliwe Anne Kilango malechela? (hapo kwenye red nina maana mtu ambeye sio wa mrengo wao kiimani). Napenda kumkumbusha rais wangu mheshimiwa sana JK, hii mbegu ya udini aliipanda yeye kama silaha ya kushindia uchanguzi kwa kipindi chake cha pili, lakini wahenga walisema, "Mchimba kisima huwa anaanza kutumbukia mwenyewe" sidhani kama tutafika 2015 kabla hawajaanza kumcharaza viboko. yeye kwa mtazamo wake anafikiri adui yake mkuu ni CHADEMA lakini ukiangalia kwa makini hili taifa kwa sasa linaangamizwa na udini alioupanda yeye mwenyewe. Alichowaahidi imekuwa vigumu kuwatekelezea.

ilianza kama kamwiba mguuni sasa tende limekua na hana control nalo tena
 
Hilo neno mkuu, badala ya kuangalia maendeleo binafsi kiuchumi, fitna tu, Angalia Syria HAKUNA so called kafir, Lakini fitna at play wanauana wenyewe KWA wenyewe !!! Kazi kweli kweli eh mja waukweli, tufunue akili zetu

Unaonekana hujui usemalo,hata habari za kimataifa za ki-copy paste kwenye magazeti huwezi kuzielewa!? Akili mgando kweli! Kama Syria kuna fitna basi ni za US na washirika wake na uwezo wako wa kufikiri umegomea hapo!
 
Sasa mkuu if i may ask NECTA ni hatua ya mwisho baada ya mtu kusoma na kufanya mitihani.wao kazi yao ni kuratibu kutunga,kusahisha na kutoa matokeo.napata shida kuconnect the dot kuwa necta wanazuiaje waislam kwenda shule?Na je kinachowanyima haki waislam ni Mtu au Mfumo?

Tatizo ni kuwa hamtaki kufikiri nje ya 'box' ! Mnahisi ni uzushi na uongo. Ukweli ni kuwa reaserch na upekuzi ulifanywa tokea kipindi cha Mwinyi. Usajili wa Waislaam ni mkubwa sana primary, ajabu level ya chuo hawapo ! Sasa hivi tunaaminishiwa kuwa shule bora kabisa ni za kanisa. Jiulize kwa nini shule za serikali zinakufa !
 
Tatizo ni kuwa hamtaki kufikiri nje ya 'box' ! Mnahisi ni uzushi na uongo. Ukweli ni kuwa reaserch na upekuzi ulifanywa tokea kipindi cha Mwinyi. Usajili wa Waislaam ni mkubwa sana primary, ajabu level ya chuo hawapo ! Sasa hivi tunaaminishiwa kuwa shule bora kabisa ni za kanisa. Jiulize kwa nini shule za serikali zinakufa !

Maybe ujiulize ni kwa nini shule za mainstream waislamu zinakufa (au at best hazifanyi vizuri, mfano Al-haramain, Kinondoni Muslim, Jabar-Hilal n.k) hazifanyi vizuri?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom