KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
- Thread starter
- #181
hapa naona ndalichako analindwa na wadau wengi wa jf kwakuwa yeye ni Mkiristo tu. lkn ni wazi NECTA kimekuwa kichaka cha kanisa. Wengi wakiristo wanaopta daraja la 1 la necta wakiingia Univ wanakuwa mzigo kwa taifa
Mkuu kwahiyo div 1 zote za wakiristo ni za kupewa na NECTA?ebu tusaidiane hivi kwenye paper uwa wanaandika majina au #?hivi unawezaje kumbeba mtu usimjua?hiyo imeanza lini?isije kuwa fear of an noun!