Jamani hebu jaribuni kuwa rational na elimu hiyo Ya Ndalichako mnayo jivunia. NO wonder uwezo wenu wa kuchanganua mambo pia ni mpaka mtafuniwe halafu mmnyweshwe.
Yaani kwenu nyinyi amani ni pale mnapo waua waislamu halafu mnajisikia raha kujisifu kwa hilo kama eti mnavyo msifu mkapa na mauaji ya Mwembe chai na Zanzibar. Hapo sawa. Eti mna uliza misingi ya Uislamu. Kila binadamu mwenye akili timamu anajua Misingi ya uislamu.
Labda jibu rahisi rejea kipindi cha maswali ya papo kwa papo bale bungeni Mbunge wa Iringa Mjini peter Msigwa (CHADEMA), alipo muuliza swali Mizengo pinda Akitaka serekali Ipingane na waislamu kupiga marufuku uvaaji wa nguo fupi. (Anzia hapa kujua misingi ya Uislamu)
Waislamu kamwe hawalalamiki bila hoja kwa watu wenye akili wanajua hilo.
Hivi mpaka leo bado mnaimba nyimbo yenu mliofundishwa eti waislamu hawana ELIMU. Hivi kweli nyinyi sio wendawazimu nyinyi. Pamoja juhudi mlizo zifanya na mnazo endelea kuzifanya, bado hamtaki kukiri kua waislamu waliruka vizingiti vyenu na sasa kuna maprofesa na madaktari kibao ambao wanaendeleza mapambano. Poleni ndugu zetu ila bado tunawapenda.
Wala Uislamu hauna ugomvi mtu asiekua muislamu. kwani kafiri wa leo kesho anaweza kuiona haki na kua Muislamu safi na bora kabisa.
Uislamu na waislamu hawapigani wala kuwabugudha wale wasio upiga vita uislamu, awe mkiristo au pagani. Bali Uislamu na waislamu adui wao ni Makafiri na Wapagani wanaoupiga vita Uislamu na waislamu duniani kote.
Uislamu na Waislamu, huishi na kushirikiana na wanadamu wote bila kujali tofauti za itikadi zao kama watu wote wataheshimiana na kufuata misingi ya haki na usawa.
Hivi Kwanini mnapenda kuishi kwa dhulma dhidi ya waislamu na pale waislamu wanapochoka ndio nyinyi mnapiga kelele za kuonewa?
Mkitaka kujua nguvu za Uislamu na waislamu mtazijua tu. Bado tunalo tatizo la wanafiki miongoni mwa wanao jiita waislamu, na hao ndio wanokwamwisha juhudi za waislamu katika kudai haki zao kama mlivyo ona kwenye sensa. Lakini pamoja na proganda na vitisho vyao, ukweli nadhani umewadhihirikia nyote. Sio lazima kuukiri. Ukweli huunguza ndani kwa ndani hatakama utajidai kutabasamu.
KWA HIYO NDUGU ZANGU. UISLAMU NI DINI YA AMANI KWA WAPENDA AMANI WOTE DUNIANI. KWANI HILO LIKO WAZI KWA WALE WENYE AKILI HURU ZA KUFIKIRIA.
mzee ninamashaka sana na uelewa wako na hasa hiyo elimu unayodai uanayo! sifahamu nyinyi ndugu zetu huwa mnasimamia lipi, mara oooh sisi tunaonewa wakristo waliosoma ni wengi kuliko sisi! wewe hapa tena unawashangaa wanaosema waislam hawana elimu, sasa tushike lipi kaka?Ni heri kuwa na kipara kuliko akili kuendeleshwa na mizimu kama jina lako! Nadhani tatizo lako ni EXPOSURE at the global level, unaposema nyinyi ni watu wakushirikiana na dini nyingine ni nani unaemdanganya? Hivi wale boko haram pale Nigeria, al quaida, Al shabab, hamas na magroup mengi ya kiuaji ndio unaita MASHIRIKIANO NA WATU WENGINE? Hivi kuchoma makanisa zanzibar, kutaka nchi ijiunge na jumuia za kiislam hayo yote ndio kujenga mahusiano? Watu duniani uislamu unamahusuano mazuri na jamii? Kulipua watu na kujilipua ndio mahusiano mazuri na IMANI YA HAKI mnayojaribu kutuhubiria? Hakuna mtu mwenye ufahamu hata kidogo tu uislam unaweza kumshawishi kwamba ni dini ya amani hata kidogo kaka! Nadhani mnamahaba tu na imani yenu lkn ukweli ni kwamba watu wengi wameweka wazi ukweli wa hiyo imani unaiyoiita inajenga mahusiano na wengine. Vitabu vimeandikwa vingi kuweka wazi kinachoendelea na hakuna muislam aliyejibu hoja zaidi ya jazba za kutaka kuwaua wanaowaweka wazi. Muzxijibu hoja ambazo zinarushwa kwenu basi ili tuelewe which is which! Kunyamaza kimya kwa watu wa imani nyingine haimaanishi wanawaogopa kama ambavyo unataka tuamini kwa kututishia na unachokiita NGUVU YA UISLAM!Ni kweli kaka nguvu ya uislam ni mauaji na vurugu tunajua sana huihitajiki kutueleza! Bado na sifa hiyo ya kijinga uliyotuambia mwenyewe bado unaiita DINI YA HAKI? kweli mwenye mapenzi haoni hata kama macho cha anayo! Au ndio hiyo mizimu? Hakuna utayemtisha na hicho unachoita nguvu ya uislam, hizo nguvu unazotaka kututisha nazo wapi duniani mlishinda? Na kama nyinyi mna nguvu mbona kucha kutwa mnalaamika? kwa nini msitumie hizo nguvu basi? Kwani kaka unadhani nguvu ni makelele? au kipi kinachokupa kiburi kwamaba mna nguvu? Kama mnanguvu mbona kila siku mnadundwa na israel? hamjiulizi tu why nyinyi wote na gubu lenu mkisogea israel mnapata kichapo? FIKIRI KAKA, KUNYWA KAHAWA NYINGI SI WINGI WA NGUVU NA AKILI!TAFAKARI NA CHUKUA HATUA! ACHA KUTISHA WATU NA UHALIFU!