PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Nimepata tetesi jioni hii kuwa kuna daktari katekwa na kupigwa vibaya huko mbeya, waliopo mbeya naomba kujua ukweli wa jambo hili!! kama ni kweli basi hizi ni kuni mpya za mgomo wa mdr. ee mola tuepushe na hili
UPDATES: Wana janvi Habari hii haina ukweli wowote. nimefuatilia kwa mtu wagu wa karibu aliyeko mbeya kanianbia ni uzushi.
Naomba radhi kwa usumbufu mloupata kutokana na tetesi hii. mods naomba ifutwe thread hii.
UPDATES: Wana janvi Habari hii haina ukweli wowote. nimefuatilia kwa mtu wagu wa karibu aliyeko mbeya kanianbia ni uzushi.
Naomba radhi kwa usumbufu mloupata kutokana na tetesi hii. mods naomba ifutwe thread hii.