Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Tanzania ya viwanda
Naona unamatatizo,labda ni Tanzania ya vi-wonder maana watu wenyewe type ya akina Bashite wazee wa kuzungusha
Tanzania ya viwanda
Naona unamatatizo,labda ni Tanzania ya vi-wonder maana watu wenyewe type ya akina Bashite wazee wa kuzungusha
Richmond na suala la Makonda wapi na wapi,Nassari kachemka aibue na ya EPA ila suala la Makonda halina uzito na halituhusu watu wa mikoani akiwemo yeye Nassari.
Richmond janga la Taifa, Makonda msala wa Dar.
Pesa za mshahara Na marupurupu mengine ukiwemo ulinzi,matibabu n.k Siyo vya taifa?
Naona mnafanana mpaka akili na huyo aliyevaa Tshirt
Wewe ni hako kadada hapo pemben very beautiful hadi povu lako lipo bomba
Tatizo unafikiria kwa Masaburi any way nimekusamehe
General Mangi, wewe Mnyakyusa kweli,,Mbona Wanyakusya nasikia ni watu smart sana?
huyu anatokea wap?
mm km mwana ccm bado naendelea kumshangaa huyu mzee
Kipindi kile alimnyoa akiwa waziri wa wizara gani vile???Ameshindwa kumnyoa akiwa waziri wa sheria na katiba, atamuweza leo akiwa waziri wa wasanii? Kweli nchi imepakatwa na wasanii zaidi this time!
Bashite kapata mtetezi. Tanganyika hamsongi mbele kiwa kun a watu wa aina hii wenye mawazo mgando. 3+2=5 lakini 2+3= sio tano. Amka jinai ni jinai tu haina mkoa wala Taifa.Richmond na suala la Makonda wapi na wapi,Nassari kachemka aibue na ya EPA ila suala la Makonda halina uzito na halituhusu watu wa mikoani akiwemo yeye Nassari.
Richmond janga la Taifa, Makonda msala wa Dar.
Na list of shame aliandaa yeye?Kwahyo kwenye ile video yule alkuwa c Bashite akifanya ujambanoko????
Huyu mwakiembe siku zake zinahesabika. AKIAMUNGU ATAKUFA VIBYA HUYU MZEE KWA ZAMBI YA UNAFIKI, USINGIZIAJI, UONGO NA UFISADI.
Mwakyembe(Mmalawi) anatafsiri kiCHICHEWA kuja kiswahili!Huyu ni Bashite mwingine mind you! Tunakumbuka alivyoikana thesis yake juu ya serikali tatu!!?? Dr tumbo mwake huyuKama hiki anachokizungumza Mwakyembe ndicho kilichopo kwenye taratibu za bunge! Hakika nasema hakuna haja ya kuwa na mahakama na pia serikali isilaumu watu wanapojichukulia hatua huko mitaani kwasababu hata huko mitaani Kuna vibaka huwa wanapatikana na hatia za wizi wa moja kwa moja kwahiyo kifo ni halali yao.
Kama kweli watanzania tuna aina ya wasomi kama huyu basi tumekwisha.
Mwakyembe hafai kuishi katika nchi inayofuata utawala wa sheria kama Tanzania.