Kumnyoa ni kumwondolea marupurupu anayopata kama waziri mkuu mstaafu! Nyie na Mwakyembe wote hamna kitu kichwani! Utamwitaje mtu fisadi huku ukiendelea kumlipa? Hovyo kabisa nyie watu......Kipindi kile alimnyoa akiwa waziri wa wizara gani vile???
Kumnyoa ni kumwondolea marupurupu anayopata kama waziri mkuu mstaafu! Nyie na Mwakyembe wote hamna kitu kichwani! Utamwitaje mtu fisadi huku ukiendelea kumlipa? Hovyo kabisa nyie watu......Kipindi kile alimnyoa akiwa waziri wa wizara gani vile???
Kumnyoa ni kumwondolea marupurupu anayopata kama waziri mkuu mstaafu! Nyie na Mwakyembe wote hamna kitu kichwani! Utamwitaje mtu fisadi huku ukiendelea kumlipa? Hovyo kabisa nyie watu......
Hivi hakuna dawa ya kuzui kuchubuka kwa ubongoDk Mwakyembe, Nassari wapimana
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe (kushoto) na Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nasari
IN SUMMARY
Dodoma. Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nasari na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe jana walichafua hali ya hewa bungeni na kusababisha mzozo mkubwa katika mjadala uliokuwa ukiendelea.
- Wawili hao walihamisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Rais Tamisemi na kurudisha suala la Richmond lililotokea mwaka 2008, huku Nasari akimtuhumu Dk Mwakyembe kuwa hakutenda haki katika ripoti yake na kumuondoa bila kumpa nafasi ya kujitetea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.
Wawili hao walihamisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Rais Tamisemi na kurudisha suala la Richmond lililotokea mwaka 2008, huku Nasari akimtuhumu Dk Mwakyembe kuwa hakutenda haki katika ripoti yake na kumuondoa bila kumpa nafasi ya kujitetea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.
“Huyu Mwakyembe ndiye aliyeongoza ripoti ya Richmond na hakumpa nafasi mheshimiwa Lowasa ajitetee, leo tena kapewa dhamana ya kuongoza Wizara ya Habari, Nape (Nnauye) ameondolewa lakini hakuna nafasi ya kumhoji Mkuu wa Mkoa... hakuna haki hapo,” alisema.
Kauli za Nasari zilimfanya Dk Mwakyembe kuomba mwongozo na aliposimama alisema: “Nilikuwa naongoza kamati na utaratibu mzuri wa kisheria ni kuwa, kama utaona kuna ushahidi wa kutosha hakuna sababu ya kumuita mtu, unaleta taarifa bungeni halafu Bunge linakuja kuamua.”
Dk Mwakyembe alisema katika taarifa yao, waliona hakuna sababu ya kumuita Lowassa kuhojiwa kwani ushahidi ulikuwa wazi na ndiyo maana hakutakiwa kuitwa mbele ya kamati badala yake walikuja kumshtaki bungeni.
“Huyu mtu wanayekuwa na mahaba naye kwa sasa, nasema wamlete hata leo waone kama hatutamnyoa kwa chupa, kanuni za kibunge zinaruhusu anaweza kuirudisha tena taarifa ya Richmond na ikaanza upya,” alisema Dk Mwakyembe.
Nyie si ndo mlizunguka nchi nzima mkimuita fisadi? Halafu mkazunguka nchi nzima kumsafisha? Mkidhani watanzania ni wajinga...Kumnyoa ni kumwondolea marupurupu anayopata kama waziri mkuu mstaafu! Nyie na Mwakyembe wote hamna kitu kichwani! Utamwitaje mtu fisadi huku ukiendelea kumlipa? Hovyo kabisa nyie watu......
Sawa, hilo litakuwa lilifanyika baada ya kubaini ukweli-sasa tusaidie kujibu swali hili: kwanini 'fisadi' Lowasa anaendelea kulipwa na serikali inayoongozwa na akina Mwakyembe na wewe mpiga debe wao?Nyie si ndo mlizunguka nchi nzima mkimuita fisadi? Halafu mkazunguka nchi nzima kumsafisha? Mkidhani watanzania ni wajinga...
Kabla sijajibu swali lako...hebu nisaidie mimi na watanzania kutuelimisha kuwa ni UKWELI gani ambao mliubaini na kuanza kutwambia kuwa sio fisadi tofauti na awali ambapo mlituaminisha kuwa ni kubwa la mafisadi?Sawa, hilo litakuwa lilifanyika baada ya kubaini ukweli-sasa tusaidie kujibu swali hili: kwanini 'fisadi' Lowasa anaendelea kulipwa na serikali inayoongozwa na akina Mwakyembe na wewe mpiga debe wao?
Bashite kapata mtetezi. Tanganyika hamsongi mbele kiwa kun a watu wa aina hii wenye mawazo mgando. 3+2=5 lakini 2+3= sio tano. Amka jinai ni jinai tu haina mkoa wala Taifa.
Kaka tunafuata kanuni na taratibu na si kuhemuka tu,halafu Nasari kuleta jambo la Lowassa leo baada ya miaka kibao ni kutumia muda na rasmali za Watanzania hovyo,siku zote alikuwa wapi au ndio kujikomba kwa Lowassa?Wabunge wanatakiwa kutuhurumia badala ya kujadili mambo ya maana yaliyopo mezani tunajadili mambo ya akina Lowassa wakati Nassari anava kaptula ,huu kama si ujinga ni nini?Chadema mnatupeleka siko halafu huo muda na hizo hela wanazotumia kuongelea ujinga zingesaidia kutuletea tija ,wabunge wa Chadema sijui akili zao zikoje.Eti huyu ndio Dr.wa sheria!!!
Anaongelea upuuzi uliotokea wakati akivaa kaptula shule ya msingi huko kwao Arumeru,sijui hayo anayoongelea ndio ilani ya Chadema ?mambo ya mwaka 47 anayaleta leo bungeni,anapoteza muda na pesa bure kwa kuongelea utumbo,toka lini Nasari ana uchungu na Vuvuzela pamoja na Mamvi kama sikupotezeana muda bure ,nilidhani angekazana kuzungumzia swala ala ardhi ambalo Wameru kila leo wanaandamanaYaani Nassari kurudi bungeni ndio anarudi na huu upuuzi??? Alienda kusoma au kuvuta bangi?
Inawezekana ni Mmalawi/Mnyasa huyoMbona Wanyakusya nasikia ni watu smart sana?
huyu anatokea wap?
mm km mwana ccm bado naendelea kumshangaa huyu mzee