Dr. Mwakyembe, ni maradhi tu?

Dr. Mwakyembe, ni maradhi tu?

Ile Thread iliyokuwa na maelezo kuhusu mwimbaji Beatrice Mhone mbona iliondolewa ghafla?
 
Sumu ameshapewa hapo alipo anasubiria dakika tu aage dunia hiii.........sasa kwani asiseme waliompa Sumu na atoe siri ya EPA.

Hawezi kurudi kwenye Hali yake aliyokuwa nayo..........he is half dead.

Wao si wamemwaga Ugali kwa kumpa sumu sasa na yeye amwage Mboga
 
kinachonishangaza mtu akiumwa anasema kuna mkono wa mtu,viongozi wetu wengi afya zao si nzuri tuache tabia ya kusingizia watu maradhi ya watu,utakuta viongozi wetu wanhubir majukwaanii wanchi kuvaa condom wakati wao hawaonyeshi mfano,kila mtu an wajibu wa kusimamia afya yake kwa karibu sio unaumwa unaanza flani kafanya hivi...
 
Nimeguswa kuamsha topic hii hapa JF ili kuomba wahusika kupitia JF watupe ukweli.

Nimeguswa na mwandishi Mwambo wa Raia Mwema pale anaposema "Serikali iseme ( iueleze umma) ugonjwa unaomsibu Dr. Mwakyembe Ama ikishindwa kuueleza umma sasa (akiwa hai , na tunamuombea maisha marefu)BASI endapo ikatokea Mpendwa wetu huyu Mungu akampenda zaidi, chochote Serikali itakachosema kuhusu afya yake Watanzania ha watakiamini", it's either NOW or NEVER!

Kwa ujasiri wa dokta nitumie fursa hii kumuomba atujulishe nini kinachomsibu endapo Serikali itakaa kimya.

Kwa nini tunataka ukweli wa hili?

Ni kwa sababu moja tu, inaelezwa kwamba kuna mchezo ulichezwa, kwamba kuna ka kitu alipewa kakapelekea ugonjwa huo. Ni nani aliyemchezea kamchezo hako?, Ni kwa nini alifanya hivyo?, Nini chanzo cha chuki iliyopelekea ukatili huo?

Kama jamii mambo ya hovyo kama hayo ya kuzimishana kwa sumu( kama tetesi zilizopo ni za kweli) tunapaswa kuyakomesha, kama ni kweli basi kwa aliyefanya hivyo katukosea watanzania wote.

Wanaomjua wamtaje, naye akisha tajwa aombe toba kwa Mungu, kwa watanzania na kwa ndugu yetu pendwa, Dr. Mwakyembe.

Kwa Dr. Mwakyembe niseme tu, usikate tamaa, pambana, Mungu yuko upande wako!

Atakuponya.

Atakulinda.


potokaz
 
Mungu atamlipizia tu!! Kwani na waliofanya hivo ni wanadamu cio chuma wakuu, kwani fimbo ya Mungu ni ya taratibu sana, hata kama cio kwa leo vizazi vyao vitarithi uovu huo.

Kwa wanaoamini: Malipo ya yote ni duniani akhera ni hesabu tuuuu!!!!!!!11
 
kinachonishangaza mtu akiumwa anasema kuna mkono wa mtu,viongozi wetu wengi afya zao si nzuri tuache tabia ya kusingizia watu maradhi ya watu,utakuta viongozi wetu wanhubir majukwaanii wanchi kuvaa condom wakati wao hawaonyeshi mfano,kila mtu an wajibu wa kusimamia afya yake kwa karibu sio unaumwa unaanza flani kafanya hivi...

unamaanisha nini mkuu ? Na yeye alikuwa havai condom ?
 
anaogopa akisema watammalizi,huko ndo kufugwa mdomo,unapigwa ndogo unatulizwa.
 
kila m2 ana maamuzi yake binafsi ya kufanya ki2 chochote kwa sababu zake binafsi. Kama ameamua kukaa kmy mwacheni coz anajua anachofanya. Fa.la ww unaye acha kufanya shughuli zako za maendeleo na kuwaza ugonjwa wa mwakyembe.
Unatoa povu bure mdada, ila ukweli ndio huo kuwa mwakyembe ni f.a.l.a naamini hata wewe unalijua hilo, ngumu kumeza ila jitahidi usukumie hata na azam juice! Wewe mwenye kufanya shughuli za kimaendeleo umepata wapi muda wa kuja kuwajibu wasiokuwa na shughuli za kufanya?
 
Nasikia mwili unakoboka tu! Maradhi yanaitwa "PINGA UFE". Nasikia ananguruma kama NYAU. Kweli hujafa hujaumbika. Ndaga Kyala.
 
Back
Top Bottom