Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
huyu naye atulie sasa na maukurutu yake atupishe bana
hongera ww uce na kasoro yyt mwilini mwako lakini kumbuka hujafa hujaumbika.
huyu naye atulie sasa na maukurutu yake atupishe bana
nitumie lugha ya mtaani kidogo, nadhani wakyembe ni f.al.a flani, anatuficha taarifa watanzania tunayoitamani kuifahamu, halafu yakimfika shingoni aanze kuomba sympathy ya watz, anawaogopa wanadamu kuliko kumheshimu mungu! aaah bonge la fa*la
Bwana amrehemu?
kila m2 ana maamuzi yake binafsi ya kufanya ki2 chochote kwa sababu zake binafsi. Kama ameamua kukaa kmy mwacheni coz anajua anachofanya. Fa.la ww unaye acha kufanya shughuli zako za maendeleo na kuwaza ugonjwa wa mwakyembe.
Kwani kafariki?!!
JB kasema ni POLLINIUN 237, sasa sijui ni sawa na hiyo ulotaja hapo, wakemia wanajua zaidi.
EL alivyoachia ngazi alionyesha hasira mbaya sana hata akijakuwa rais atakuwa dictator mbaya sana mwizi.....Mkuu hata kama sio hiyo hivi kweli nchi yetu imefikia hatua ya kutoana roho kwa sababu ya siasa!