kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 717
Nimekuwa mfuasi mzuri sio wa CCm bali wa Dr Mwakyembe binafsi haswa baada ya sakata La Richmond,lakini nimekuwa nikijiuliza hivi maradhi anayoumwa sasa ni ya kawaida au kuna mkono wa Siasa ndani yake , jamani naogopa isije ikawa wameamua kumzima kabisa yaani ndio anajifia tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiib bila kelele