muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Anawatuhumu jeshi la polisi, usalama wa taifa, na waganga wa kienyeji
Source: Gazeti la Mtanzania katika Mapitio ya magazeti Magic FM (Huwa sinunui magazeti ya RA)
Source: Gazeti la Mtanzania katika Mapitio ya magazeti Magic FM (Huwa sinunui magazeti ya RA)
Kwenye huo mpango wapo watu wa sita(6)ambao wanatakiwa kuuwawa,na kundi al shabaab ndio walio kodiwa kufanya unyama huo,kutokana na maelezo ya kwenye mtanzania wanasema kuwa watu hao sita(6)ndio kikwazo cha uislam.
1.Dr.mwakyembe
2.Dr.slaa
3.Anne kilango malecela
4.Regnald Mengi
5.Pr.mwandosya
6.Bernad Membe