Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

MAJIBU YA MWAKYEMBE HAYA HAPA....

Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufura kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.

Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!

Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!

Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!

Hali sasa imefika pabaya!
 

Katika yoootee, hilo la kuikana research thesis yake liliniacha midomo wazi. Kadri ya utetez wowote alioutoa kuhusu research material yake, kamwe mimi simuamini tena. Hafai kabisa!
 
Tunajadili Richmond tena? izi ndui sijui tutazifuta kwa njia gani haya ndio madhara ya ndui za utotoni..
 
Siasa ni mchezo mchafu, kwenye siasa ushindi unakwenda kwa mwenye mbinu za kucheza rafu. Dr Mwakyembe hawezi kusema chochote kwa sasa, kwa maana anajua kwamba hata kama ukweli uko upande wake, bado Lowasa anaweza kushinda.
 
Mwakyembe alikuwa ni mzushi kwenye kashfa ya Richmond kama alivyo Zitto Kabwe kwenye hii ya Eskrow. Tatizo la Mzee Lowassa ilikuwa ni kujiuzuru kirahisirahisi kwa kelele za Mwakyembe na genge lake la wazushi.

HUJUI HISTORIA WEWE
Sitakuja kusahau mradi wa mapacha watatu (lowasa, kiwete na rostam) wa kuchichongea kampuni feki ya richmond ambayo haikuwa na fedha, ofisi, mitambo wala uzoefu. Kila siku walikuwa wanaikamua tanzania milioni 152. IMAGINE. Nasikia wasingeshitukiwa kwenye dili hii walikuwa mbioni kuunda kampuni km 20m feki ili kurudisha pesa walizokuwa wametumia wkt wa uchaguzi. Style ileile ealiyotumia kumuingiza kikwete wanataka kuitumia tena. ZILE KAMPUNI FEKI 20 AMBAZO ZILIFELI KUANZISHWA SASA ZITATUMIKA KUPORA UTAJIRI WA NCHI KM KWELI IKATOKEA lowasa jambazi sugu na fisadi papa akawa rais wa tz
 
Wanasiasa wameanza kupagawa! Sasa miaka minane ndiyo unaanza kukana; je anachokana ni nini hasa? Hakuhusika au hakukuwa na ufisadi wa Richmond? Maana tunajua akijiuzulu kwa sababu alikuwa kinara mkuu na katika usimamizi wake kulitokea ufisadi uliolisababishia taifa hasara kubwa inayoendelea kutusumbua. ningeelewa kama angeomba radhi kwa ufisadi huo na kuahidi akipata urais atahakikisha nchi haiingii katika matatizo ya jinsi hiyo. Nitashangaa Mh Mwakyembe Akijibu haya...mwache Mh Lowassa aangaike kujisafisha. Kwa upande mwingine Bw Lowassa anataka kumsukumia kashfa hii Rais wake na chama chake!
 
Muhusika mkuu wa Richmond anajulikana ndo mama kila wakati watu wanamnukuu akisema kuwa tukimpitisha Lowassa atalipiza kisasi.
 
kama na mwakyembe ni mbaya bac na wanaokuja ni wachafu wote maana hakuna malaika bora tutafute mchina
 
Muhusika mkuu wa Richmond anajulikana ndo mama kila wakati watu wanamnukuu akisema kuwa tukimpitisha Lowassa atalipiza kisasi.


muda wakuandikia wino umefika,wanasheria noa vichwa kutupa ushaidi wa kisheria juu ya tuhuma ya lowasa na msipepese macho maana hana la kuwafanya .ili tuchambue tuhuma na ushaidi wa wizi wake.
 
tuwekeeni mahojiano yote ya EL AUDIO. mbona kama mambo ya RICHMOND yamechujwa kwenye hiyo audio iliyosambaa mtandaoni.
Mnatunyima watanzania haki ya kutoa maoni kwa uhuru zaidi.
 
MAJIBU YA MWAKYEMBE HAYA HAPA....

Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufura kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.

Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!

Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!

Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!

Hali sasa imefika pabaya!
 
MAJIBU YA MWAKYEMBE HAYA HAPA....

Akihojiwa na mwandishi wa vyombo vya habari vya UHURU waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki ameonekana kufura kutokana na madai yaliyotolewa na Edward Lowassa leo kutokana na sakata la Richmond.

Dr. Mwakyembe amemfananisha Edward Lowassa na 'mshenzi' huku akidai kuwa anateswa na mzimu wa urais!

Hali halisi inaonyesha kuwa sasa CCM kumeibuka vita ya aina yake na inaweza kuisambaratisha vibaya CCM!

Lowassa leo ameonekana kuishambulia vilivyo serikali ya Kikwete kwa kudai kuwa yapo makosa yaliyofanywa katika serikali hiyo!

Hali sasa imefika pabaya!
 
vuta-nkuvute unachochea kuni moto uwake,lengo lako kumprovoke lowassa na mwakyembe ili jamaa atoswe.
 
Last edited by a moderator:
Siungi mnoko yeyote katika chama cha majam.. ila usiwe umeweka chumvi nyingi ktk maelezo yako .Weka mahojiano kama ulivyo yashuhudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…