Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

mabehewa bilioni 300,CAG anasema bandari bilioni 800,jumla trilioni moja,pi

Ndo mana nasema kuna kazi kubwa kumchafua dk mwakyembe suala la bandari pale ule upotevu wa bilioni 800 ni suala la TRA ambao ndio wakusanya mapato pale bandarini,nivigumu kabisa kumhusisha dk mwakyembe na hilo,hapa kama unamtafuta mtu wa kumtupia mzigo ni waziri wa feza.haya hilo moja la mabehewa miongozo ya kiutendaji iko wazi

waziri haruhusiwi kuingilia mchakato mzima wa tenda na sasa angalia mwakyembe alivyo mjanja alivyo ona kuna harufu ya rushwa kwenye tenda haraka aliagiza takukuru (pccb)kuchunguza na kuchukua hatua na hakuishia hapo akaunda na tume pia,hata sisi wenyewe ikatuwia vigumu kumshka kwenye hili
 
Nakuhakikishia kama utamwamsha lowasa usiku umwambie ni mwanasiasa gani unaemwogopa tz ,atakwambia ni dr mwakyembe na swali hlo hlo hata ukimfuata rostam na kumwuliza bdo atakwambia ni dk mwakyembe.lowasa amefanya kosa kubwa sana kujaribu kumwngiza dr mwakyembe kwenye hili na yeye anajua dk mwakyembe sio mtu wa kukurupuka na nilisha wahi kumuonya mzee kuhusu hili.
Mwakyembe msaliti wa Intellect yake? Aliyekana tafiti yake ya PhD ? Utakuwa sijui nani yake wewe,maana mwakyembe ni fisadi tu kama Lowasa. Lowasa kawa-tym pabaya,mtasalimu Amri kwa Laigwanani.
 
CCM ya wale waliojiita ati wapiganaji - imeshachoka!! walizidiwa kete baada tu ya kukubali zile teuzi, mbaya zaidi kiongozi wao naye kashaharibu record yake baada ya kuvurunda kwenye katiba mpya!!

Siasa ni timing!! - mjini hapa.

Walikuwa ni mafisadi waliokosa fursa hatimaye wote tumeziona rangi zao halisi.

Dawa ni kuifurumusha Ccm madarakani tujenge Taifa jipya la waadirifu.
 
Kama Mwakyembe ni mzushi ilikuwaje wakapanga mbinu za kumuua kwa ile ajali kupitia lori la rafiki wa Lowasa? na vipi kuhusu kuwekewa sumu iliyomsababishia ngozi kuharibika? imefika wakati sasa Mwakyembe awaweke wazi waliohusika na kudhuru mwili wake na kwa nini walifanya hivyo.
 
VUTA-NKUVUTE

Naamini wewe ni msomi.
Kama nakosea basi uniwie radhi mkuu.
Uwe na uelewa wa kujua kuwa lile lilikuwa suala la Bunge, na kwa mantiki hiyo suala lirudishwe bungeni.
Lowassa kafanya vizuri kulikana, zaidi ya miaka tisa imepita.
Tukikumbuka kauli ya Mwakyembe, alisema mambo mengine hayakuwekwa wazi kwa usalama wa nchi hii.

Sasa kama Lowassa hahusiki na Richmond, nani anahusika.
Ngoma bado mbichi, ingawaje we are exhuming a dead mans skeleton here.
 
Last edited by a moderator:
Huwa nakuaminia sana kwamba unajuwa mengi kumbe wewe upo gizani? Mwakyembe ni tayari mateka hana tena ujanja ana kashfa ya mabilioni ya mabehewa ya TRC na taarifa za uhakika nimezipata kutoka magogoni.

Lowasa mnqmchukulia poa lakini ukweli ni kwamba ameshamaliza kazi alikuwa anaawawchw mropoke tu.

Ole Sendeka baada ya kuona kimbunga ni kizito kajisalimisha mwenyewe na kupamba Lowasa bungeni.

Mwakyembe tulimpenda sana ila ufisadi ukampenda zaidi bora angekufa kwa sumu tu kuliko hasara aliyotuingiza shenzi kabisa huyu.

VOTE FOR UKAWA.


Mwakyembe amekwisha kwa njaa zake....

Nimefurahishwa na Lowassa jinsi alivyoamua kutokufa peke yake....

Safari ni nyepesi kwa wapenda mabadiliko!!!!
 
VUTA-NKUVUTE

Mzee Tupatupa, yaani wewe subiri tu jamaa kajiingiza kwenye 18, atalipuliwa sasa hivi, Dr. Mwakyembe ana mabomu mazito sana ya kummaliza kabisa Lowassa. Jamaa kakosa washauli alitakiwa akae kimya kabisa kama alivyo fanya siku za nyuma baada ya issue ya Richmond ile ndio ilikuwa busara.
 
Last edited by a moderator:
Huwa nakuaminia sana kwamba unajuwa mengi kumbe wewe upo gizani? Mwakyembe ni tayari mateka hana tena ujanja ana kashfa ya mabilioni ya mabehewa ya TRC na taarifa za uhakika nimezipata kutoka magogoni.

Lowasa mnqmchukulia poa lakini ukweli ni kwamba ameshamaliza kazi alikuwa anaawawchw mropoke tu.

Ole Sendeka baada ya kuona kimbunga ni kizito kajisalimisha mwenyewe na kupamba Lowasa bungeni.

Mwakyembe tulimpenda sana ila ufisadi ukampenda zaidi bora angekufa kwa sumu tu kuliko hasara aliyotuingiza shenzi kabisa huyu.

VOTE FOR UKAWA.
Embu niambie na uwe muungwana kwenye hili hv unafikiri ni nani alitaka kumuua mwakyembe kwa sumu?sikia waliotaka kumuua mwakyembe kwa sumu ni hao unaowatetea na walijua ukimuua mwakyembe umemaliza kazi kwa sababu kwao mwakyembe ni mtu hatari kuliko ukoma,moja anajua uchafu wao mbili haongeki tatu anasema ukweli daima lakini lililo kuu na wanalo lijua mwakyembe anakichwa chenye uwezo wa akili kuliko yoyote umuonaye na hamna namna ya kumrubuni kwa hyo wakaona kilicho baki ni kumuua,lakini cha ajabu mwili ukaitema sumu.jiulize unaujua mpango wa mungu kuhusu mwakyembe kama hujui tulia
 
Tusubiri kwanza huyu "Mroho hasa" atapike yote huko Arusha, kisha huyu " Mwenye Kiwembe" amchanechane kabisa.
CC Lizaboni Pasco VUTA-NKUVUTE
 
Last edited by a moderator:
Ndo mana nasema kuna kazi kubwa kumchafua dk mwakyembe suala la bandari pale ule upotevu wa bilioni 800 ni suala la TRA ambao ndio wakusanya mapato pale bandarini,nivigumu kabisa kumhusisha dk mwakyembe na hilo,hapa kama unamtafuta mtu wa kumtupia mzigo ni waziri wa feza.haya hilo moja la mabehewa miongozo ya kiutendaji iko wazi waziri haruhusiwi kuingilia mchakato mzima wa tenda na sasa angalia mwakyembe alivyo mjanja alivyo ona kuna harufu ya rushwa kwenye tenda haraka aliagiza takukuru (pccb)kuchunguza na kuchukua hatua na hakuishia hapo akaunda na tume pia,hata sisi wenyewe ikatuwia vigumu kumshka kwenye hili
ukaguzi ulifanyika bandarini si TRA,bandari iko chini ya mwakyembe
 
Kama Mwakyembe ni mzushi ilikuwaje wakapanga mbinu za kumuua kwa ile ajali kupitia lori la rafiki wa Lowasa? na vipi kuhusu kuwekewa sumu iliyomsababishia ngozi kuharibika? imefika wakati sasa Mwakyembe awaweke wazi waliohusika na kudhuru mwili wake na kwa nini walifanya hivyo.

Kama anawajua si angewashitaki.usiwe mvivu kufikiri
 
Mzee Tupatupa, yaani wewe subiri tu jamaa kajiingiza kwenye 18, atalipuliwa sasa hivi, Dr. Mwakyembe ana mabomu mazito sana ya kummaliza kabisa Lowassa. Jamaa kakosa washauli alitakiwa akae kimya kabisa kama alivyo fanya siku za nyuma baada ya issue ya Richmond ile ndio ilikuwa busara.
kwishne,wizara ya uchukuzi imetosha kummaliza
 
CCM wanapotifuana wenyewe kwa wenyewe...

Hii ndio raha ya mwaka wa uchaguzi, unapata fursa ya kujua mnafiki ni yupi, mwenye kunena uongo ni yupi...nk
 
Hana hoja mzee wa mabehewa na vichwa chakavu

Hili jizi na fisadi la kimataifa linatuaribia chama chetu.Hivi kwanini Jk,kinana na Nape wasilifukuze kwenye chama.Tunafanya kazi kubwa uku vijijin kupigania ushindi wa ccm lakini Fisadi Lowasa anasupress nguvu zetu zote
 
VUTA-NKUVUTE

jamani njoeni tanzania muone maajabu,haya ya lowassa ni maajabu.
 
Last edited by a moderator:
CCM wanapotifuana wenyewe kwa wenyewe...

Hii ndio raha ya mwaka wa uchaguzi, unapata fursa ya kujua mnafiki ni yupi, mwenye kunena uongo ni yupi...nk

Sisi tuendelee kuchochea kuni....msimu wa baridi huu
 
ukaguzi ulifanyika bandarini si TRA,bandari iko chini ya mwakyembe

Ndo mana nawaambia mna uwezo mdogo kiakili kama hao mnao watetea,sikia unahitaji darasa kwenye hili ila ntakueleza kifupi,pale bandarini kuwa wizara nyingi zinafanya kazi pale kama viwanda na biashara hawa ndio wana ofisi za ukaguzi wa viwango kwa bithaa zinazo ingia kuna TRA wana ofisi pale kwa kuchukua kodi yao ndio maana ofisi ya mkaguzi ikasema mizigo ambayo haikukatwa kodi ni ile iliyokuwa ya transit

yaani inayo kwend nje ya nchi pamoja na kazi nyngne hzi pia wanashughulikia TRA,na hyo ndo wizara ya feza ,mwakyembe na bandari wao wanashughulikia ufanisi na ndio maana akapunguza siku za kutoa mizigo kutoka 14hadi 9,yeye kwake ni kuhakikisha bandari inafanya kazi kwa ufanisi ili kuipatia TRA kodi zaidi.haya ni machache tu nayo kueleza ila ndugu yangu unapotaka kujifunza kitu usijifanye mjuaji.
 
Back
Top Bottom