Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Dr. Mwakyembe, muda wako umefika

Mwakyembe aliyeikana tafiti yake ya Phd kwenye maoni ya Katiba mpya,ndo nguli wa sheria unayemtaja? Yule Mwakyembe kwanini uamini report yake ya Kamati teuli ilihali aliisaliti research yake ya taaluma? Mwakyembe naye ni opportunist tu. Mwakyembe na Sitta wote #Wasaka tonge tu hao!
Nashauri Lowasa amwage Mboga na Ugali vyote,

we muongo tu....ngoja mwakyembe aandae tamko lake kwa kifupi....
narudia tena kusema lowasa hasafishiki kwa namna yoyote ile. Ni majambazi wachache sana wanaokiri kuwa wameiba. nina hakika katiba/sheria ingekuwa inaruhusu lowasa angeminywa nanihii zake lazima angekiri kwani wizi wake ni wawazi kabisa. BAHATI MBAYA ccm INAMAAJABU MENGI
 
Nimeamini ukitaka kuiteka hekaya haribu lugha ya wahusika, sasa ma ccm kila mmoja anamuona mwenzake adui, anamchafua anamuonea wivu, kumbe wote wachafu anza kusema yangu niseme yako. Mwakyembe akirogwa aropoke amekwisha Lowasa hakukaa kimya bure alimwacha jamaa aendelee kujichafua maana anajua ni chafu kama yeye halafu anamnyooshea kidole mwenzake. Sasa wacha waseme hadharani tuwachore. UKAWA njia nyeupe ni muda ufike walafi waondoke ikulu.
 
Hili jizi na fisadi la kimataifa linatuaribia chama chetu.Hivi kwanini Jk,kinana na Nape wasilifukuze kwenye chama.Tunafanya kazi kubwa uku vijijin kupigania ushindi wa ccm lakini Fisadi Lowasa anasupress nguvu zetu zote

Kwa nini mnang'ang'ania kubaki kwenye chama kimoja na jitu kama hilo??
 
Nakuhakikishia kama utamwamsha lowasa usiku umwambie ni mwanasiasa gani unaemwogopa tz ,atakwambia ni dr mwakyembe na swali hlo hlo hata ukimfuata rostam na kumwuliza bdo atakwambia ni dk mwakyembe.lowasa amefanya kosa kubwa sana kujaribu kumwngiza dr mwakyembe kwenye hili na yeye anajua dk mwakyembe sio mtu wa kukurupuka na nilisha wahi kumuonya mzee kuhusu hili.
Na ukizingatia sasa hivi ALSISHASEMA baada ya ugonjwa wake ule sasa hivi kaimalika na MUNGU wake anampigania tegemea MAJIBU ambayo kuna watu wengine wataenda JERA wengine wanaingia kwenye uchaguzi.
 
VUTA-NKUVUTE

Mg.Lowassa amefanya jambo la maana kwa wakati sahihi, timing nzuri, Itakumbukwa wakati Mh Mwakyembe akisoma ripoti ya kamati teule juu ya mkataba tata wa kampuni ya kufua umeme ya Richmond alisema kuna mambo au taarifa ambazo angeziweka wazi pale bungeni basi serikali yote ingesambaratika.Kifupi hapa Mwakyembe hakusoma ripoti yote! Kulikuwa na mazito yaliyoachwa! Na sasa ni mda wa yeye kuwatendea haki watanzania kwa kueleza ukweli wote! Nafasi ni sasa Mh Mwakyembe !
 
Last edited by a moderator:
Mwakyembe aliyeikana tafiti yake ya Phd kwenye maoni ya Katiba mpya,ndo nguli wa sheria unayemtaja? Yule Mwakyembe kwanini uamini report yake ya Kamati teuli ilihali aliisaliti research yake ya taaluma? Mwakyembe naye ni opportunist tu. Mwakyembe na Sitta wote #Wasaka tonge tu hao!
Nashauri Lowasa amwage Mboga na Ugali vyote,

Dr Mwakyembe gani huyo unayemuongelea? Huyu Dr. Harrison Mwakyembe Waziri wa Africa Mashariki ambaye Watanzania wote tunamfahamu ?!

Kweli Karume Jnr hakukosea aliposema kwamba Watanzania tuna akili kama za Samaki.

Dr. Mwakyembe huyu huyu aliyesema kwamba akitoka India kwenye matibabu atamtaja mtu alimye mnywesha sumu ya Pollonium. Lakini baada ya kutoka India na kuzawadiwa ka-cheo ka-full minister hadi leo hajamtaja mtu huyo, kinyume na ahadi yake kwa watanzania tuliomuombea?

I'm doubting Thomas kama Mwakyembe anaweza kumjibu Laigwani Lowassa. Ajiandae tu kutafuta Uraia pacha kama ENL ataukwaa Urais wa JMT

All in all mimi siamini hata mwana-CCM mmoja awe Lowassa au Mwakyembe, wote kama sio FISADI basi ni mlinda MAFISADI, hivyo they are birds of same feathers, they flock togother. Wait and see, the writting is already on the wall.
 
Ikulu kuna nini jamaniii..mbona watu wanataka kwa gharama yeyote ..ikiwemo kuchafuana?kuna ka escrow gani apo ambako hakaonekani machoni mwa watz mil 46 na ushee tuliobaki..ni kutuongoza tu?kututawala?ama ni nini hasa?
 
Katika sakata la Richmond,mh.Mwakyembe kuna mambo,kama sikosei, alisema waliamua kutoyasema ili kuikoa serikali isianguke.

Mh.Mwakyembe,mwenzako ameanza harakati za kujisafisha na kukutuhumu wewe na kamati yako kuwa mlikuwa na agenda yenu(uwaziri mkuu) na hii si mara ya kwanza.Sasa na wewe kwanini usiseme ukweli ijulikane moja?

Kama hofu ni uwaziri,ni kwanini usijiuzuru tu ili uwe huru kusema chochote unachokiamini na ukalinda heshima yako juu ya sakata hili?
 
Ndo mana nawaambia mna uwezo mdogo kiakili kama hao mnao watetea,sikia unahitaji darasa kwenye hili ila ntakueleza kifupi,pale bandarini kuwa wizara nyingi zinafanya kazi pale kama viwanda na biashara hawa ndio wana ofisi za ukaguzi wa viwango kwa bithaa zinazo ingia kuna TRA wana ofisi pale kwa kuchukua kodi yao ndio maana ofisi ya mkaguzi ikasema mizigo ambayo haikukatwa kodi ni ile iliyokuwa ya transit yaani inayo kwend nje ya nchi pamoja na kazi nyngne hzi pia wanashughulikia TRA,na hyo ndo wizara ya feza ,mwakyembe na bandari wao wanashughulikia ufanisi na ndio maana akapunguza siku za kutoa mizigo kutoka 14hadi 9,yeye kwake ni kuhakikisha bandari inafanya kazi kwa ufanisi ili kuipatia TRA kodi zaidi.haya ni machache tu nayo kueleza ila ndugu yangu unapotaka kujifunza kitu usijifanye mjuaji.

hueleweki, cha msingi TRA watafanyaje kazi vizuri kama bandari haina usimamizi? hiyo kodi wataipataje? mwaka mmoja hasara ya trilioni moja,
 
We ndo unaubongo wa samaki kabisa ,mwakyembe kutotaja watu walio mwekea sumu haiondoi thana ya kwamba aliwekewa sumu,swali la muhimu hapa ni kwann aliwekewa sumu au ni kwann walitaka mwakyembe afe?haya ndo maswali ya kujiuliza kama mtu mwenye akili.jiulize mwakyembe anajua nn hasa mpaka watu wakakaa vikao na kuagiza masumu ya kumuua na wewe unajua mwakyembe haongeki wala harubuniki kwa hela na kama utataka kutaja watu wenye upeo mkubwa tz lazima uanze nae na hao waliotaka kumuua walisha liona hili,wakajua ukisha muua mwakyembe waliobaki ni vidagaa

mkuu huyajui magonjwa ya siku hizi yanapochachamaa?? unaweza kusingizia sumu
 
Kama walishindwa kung'atuka walioshikwa na "bata" mkononi, itawezekana kwa mnukia "mchuzi"
This is Tanzania bongo land, where wonders shall never ends.
 
Kwa nini mnang'ang'ania kubaki kwenye chama kimoja na jitu kama hilo??

ccm nimekuwa ninaitumikia,wazazi wangu wote wameipigania ccm mpaka umauti wao,Leo mtu mmoja aliyeichafulia ccm ndio tena awe raisi?Hakika chama kikimpitisha sisi hatutapiga kura.
 
Dr Mwakyembe gani huyo unayemuongelea? Huyu Dr. Harrison Mwakyembe Waziri wa Africa Mashariki ambaye Watanzania wote tunamfahamu ?!

Kweli Karume Jnr hakukosea aliposema kwamba Watanzania tuna akili kama za Samaki.

Dr. Mwakyembe huyu huyu aliyesema kwamba akitoka India kwenye matibabu atamtaja mtu alimye mnywesha sumu ya Pollonium. Lakini baada ya kutoka India na kuzawadiwa ka-cheo ka-full minister hadi leo hajamtaja mtu huyo, kinyume na ahadi yake kwa watanzania tuliomuombea?

I'm doubting Thomas kama Mwakyembe anaweza kumjibu Laigwani Lowassa. Ajiandae tu kutafuta Uraia pacha kama ENL ataukwaa Urais wa JMT

All in all mimi siamini hata mwana-CCM mmoja awe Lowassa au Mwakyembe, wote kama sio FISADI basi ni mlinda MAFISADI, hivyo they are birds of same feathers, they flock togother. Wait and see, the writting is already on the wall.

Sasa wewe unani-quote mimi tena? My views are,Both Mwakyembe,Sitta,Lowasa and their colleagues are rotten folks!
 
Kamanda unataka Mwakyembe ajiuzulu kwa kukufurahisa wewe familia yake utaipa huduma wewe.
 
VUTA-NKUVUTE

Mzee wangu hawa ni MARAFIKI AMBAO HAWAKUKUTANA BARABARANI ,tafadhali jumba bovu lisije likakuangukia.Chukua JEMBE lako kalime wakipatana hawa nialike TUKAVUNE.......

Achana nao hawa lao moja na lugha waiongeayo ni moja.Mluzi wa upigao ni mmoja,angalia Mzee wangu huko kwa MAFISADI huwezi waachie wenyewe,usije ukacheza MUZIKI wao.

Na unawajua wote ni WASANII mmoja kwa kuusomea na mwingine kwa upenzi,kumbuka alisema mwenyewe asingekuwa RAHISI basi angekuwa MUIMBAJI wa BONGO YENYE FLEVA upo?
 
Last edited by a moderator:
Katika sakata la Richmond,mh.Mwakyembe kuna mambo,kama sikosei, alisema waliamua kutoyasema ili kuikoa serikali isianguke.

Yaani mpaka dakika hii hujaelewa kilichotokea.Unafikiri Serikali huanguka kivipi?
Unadhani kwanini Mwakyembe alipewa Zawadi ya Uwaziri?
Ilikuwa lazima jumba bovu limwangukie mtu ili kumsevu mtu mzito kwenye ile sakata. Sasa mara nyingi kikulacho kinguoni mwaka mara hii ni zamu ya Dr.Mwakyembe na Spika wa Viwango jumba bovu kuwaangukia.

 
lowassa ni mwizi kama wezi wengine mitaani

Duh,hata humung'unyi kaka?Yaani tena na zaidi hawa wa mitaani waiba kuku na visimu eti ndiyo wapo JELA wakati wenyewe wapo MJENGONI wanatutungia KATIBA kuhalalisha wizi/ujambazi wao
 
Back
Top Bottom