Dr. Mwakyembe hali tete jimboni Kyela

Dr. Mwakyembe hali tete jimboni Kyela

ukisema alimalizia ya mwakipesile napingana naww. Kat ya wabunge mizigo au bogus iliyowahi kutokea hapa tz basi mwakipesile ni namba moja.
Lile lilikuwa zigo.

Mkuu unajua kwann mwakyembe aliingia kwenye mgogoro wa chinichini na mwakipesile?

Unajua kwann baada ya mwakyembe kuwa mbunge na kikwete alimpa mwakipesile ukuu wa mko?

Hapo kulikuwa na roadblock ambayo ilikuwepo lakn sasa tutaona mengi.

Kipindi mwakipesile anaondoka kwenye ubunge kyela kulikuwa na kampuni moja tu la cocoa nalo ni METL na bei ya cocoa ilikuwa sh 800 tu tena kwa mkopo.

Lakn baada ya mwakyembe kuingia kayaleta makampuni mengne na bei ikapanda.

Mnyonge mnyongen na haki yake mpeni..

Leo mnasema wakisi wakuvua samaki waje bungen watasaidia nn?
Tukianza na majimbo ambayo ya chadema kama mbeya mjin Sugu kafanya nn zaidi ya kurap tu bungne?, msigwa kafanya nn jimbon kwake? Mnyika kafanya nn jimbon kwake mpaka ameamua kulikimbia kwasababu ya hasira ya wananchi?
Mdee kafanya nn zaidi ya mchezo mchafu na ester bulaya.

Tumwache mwakyembe aendelee kufanya kaz pamoja na tingatinga

Kaka huwezi kusema Mwakyembe kafanya kazi kwa kupandisha bei ya cocoa tu,

Bado nakubali jitihada za mwakipesile, hasa kwa kua ni mbuge anaeishi na wana kyela muda wote,

Barabara kuu iliyounga hadi boda ni kazi ya mwakipesile, shule za sekondari kazi ya mwakipesile nafahamu mwakipesile alivyokua karibu kuhuziangalia hzo shule hasa kwa kua nimesoma hapo, maji na umeme wakati wa mwakipesile hatukupata shida, mwanyembe alipokuja alimfanyia fitina mwakipesile akagawa watu katika makundi na kueneza chuki.

Suala la kupanda kwa cocoa limechangiwa na ushindani baina ya makampuni pia hasa baada ya kampuni kama Olam, Baoland n.k kuja kununua cocoa hii ilipelekea bei kupanda. mchango wake ulikuwa mdogo sana.

Turudi kwenye mpunga yako wapi yale makonte na makontena ya wapemba yaliyokuwa yakinunua mpunga kyela???? Yamepaki mbalali yanabeba mchele yanauita super toka kyela wakati mkulima wa mpunga wa kyela akiuza bei ya kawaida ambayo haimlipi kulingana na gharama za kilimo alizotumia, matokeo yake ni kilimo cha mpunga kufa taratibu maana hakilipi watu wanakimbilia kulima cocoa.

Mchagueni kama mnaona anawafaa, mim binafsi mmmh!!!!
 
Watawala wamejisahau, wanaamini ni wao tuu wenye hati miliki na nchi hii. Hamna mwingine mwenye uwezo wa kuongoza. Kwahiyo wakiambiwa watoke wanaona utaleta vita. Sijui vita inatoka wapi hapo sijaelewa.

Ila mimi nijuavyo nchi yoyote duniani huwa zina taratibu yake, mara zote ili chama kimoja kitoke na kuingia kingine lazima

wananchi wapige kura na kuchagua viongozi wao, sasa Tanzania si bado hatujapiga kura, hao watawala wamegoma vipi

kutoka? Hizi chokochoko tunazofanyiana kwa mgongo wa siasa zitatutokea puani mi nakwambia. Wewe unasema watawala

hawataki kutoka wakati hata muda wa kupiga kura haujafika.
 
Kaka huwezi kusema Mwakyembe kafanya kazi kwa kupandisha bei ya cocoa tu,

Bado nakubali jitihada za mwakipesile, hasa kwa kua ni mbuge anaeishi na wana kyela muda wote,

Barabara kuu iliyounga hadi boda ni kazi ya mwakipesile, shule za sekondari kazi ya mwakipesile nafahamu mwakipesile alivyokua karibu kuhuziangalia hzo shule hasa kwa kua nimesoma hapo, maji na umeme wakati wa mwakipesile hatukupata shida, mwanyembe alipokuja alimfanyia fitina mwakipesile akagawa watu katika makundi na kueneza chuki.

Suala la kupanda kwa cocoa limechangiwa na ushindani baina ya makampuni pia hasa baada ya kampuni kama Olam, Baoland n.k kuja kununua cocoa hii ilipelekea bei kupanda. mchango wake ulikuwa mdogo sana.

Turudi kwenye mpunga yako wapi yale makonte na makontena ya wapemba yaliyokuwa yakinunua mpunga kyela???? Yamepaki mbalali yanabeba mchele yanauita super toka kyela wakati mkulima wa mpunga wa kyela akiuza bei ya kawaida ambayo haimlipi kulingana na gharama za kilimo alizotumia, matokeo yake ni kilimo cha mpunga kufa taratibu maana hakilipi watu wanakimbilia kulima cocoa.

Mchagueni kama mnaona anawafaa, mim binafsi mmmh!!!!

labda kwa suala la barabara ya kutoka kyela mpaka njia panda ya boda hilo sijui sana kama ni mwakipesile au nan.
Ukisema makampuni ya kokoa hayo yaliletwa na mwakyembe..

Japo hata mm sitashiriki mkumchagua lakn mwakyembe lazma apite . Tunahitaji maendeleo zaidi
 
Ila mimi nijuavyo nchi yoyote duniani huwa zina taratibu yake, mara zote ili chama kimoja kitoke na kuingia kingine lazima

wananchi wapige kura na kuchagua viongozi wao, sasa Tanzania si bado hatujapiga kura, hao watawala wamegoma vipi

kutoka? Hizi chokochoko tunazofanyiana kwa mgongo wa siasa zitatutokea puani mi nakwambia. Wewe unasema watawala

hawataki kutoka wakati hata muda wa kupiga kura haujafika.

mkuu huyo ni shabiki asiyeelewa ni kipi anachokishabikia.
Wengi wa hao wanaofanya vurugu hata hawajajiandikisha kupiga kura au siku ya kupiga kura hawatakuwepo lakn bado wanalalama eti watawala hawataki kutoka madarakan
 
Ila mimi nijuavyo nchi yoyote duniani huwa zina taratibu yake, mara zote ili chama kimoja kitoke na kuingia kingine lazima

wananchi wapige kura na kuchagua viongozi wao, sasa Tanzania si bado hatujapiga kura, hao watawala wamegoma vipi

kutoka? Hizi chokochoko tunazofanyiana kwa mgongo wa siasa zitatutokea puani mi nakwambia. Wewe unasema watawala

hawataki kutoka wakati hata muda wa kupiga kura haujafika.

Sisemi kutoka kichwani kwangu. Wao wenyewe wanatamka hayo.
Kwani wewe hujasikia kiongozi anasema hiki chama Dume. Ushindi lazima hata kwa goli la mkono. Hukusikia kiongozi anasema nchi haikabidhiwi kwa vikaratasi. Na kauli nyingine nyingi zimesemwa. Ni dalili tosha kwamba hawakubali matokeo.ma mifano hai ilijionesha kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa,sehemu walizo shinda wao walitangaza matokeo harakaharaka. Sehemu walizoshindwa palikuwa na matatizo mengi sana. Mara kiponga mahakamani na mara hata kuwaapisha walioshinda ikawa tatizo. Hizo ni dalili za kutokubali matokeo.
Umeshuhudia wengine hata tuu katika kura za maoni wanarusha ngumi. Ijekuwa kuachia madaraka???
Wanasema tuu wapinzani wana uchu wa madaraka lakini uhalisia ni wao haswaaa.
 
labda kwa suala la barabara ya kutoka kyela mpaka njia panda ya boda hilo sijui sana kama ni mwakipesile au nan.
Ukisema makampuni ya kokoa hayo yaliletwa na mwakyembe..

Japo hata mm sitashiriki mkumchagua lakn mwakyembe lazma apite . Tunahitaji maendeleo zaidi

Sawa my kaka sie ndugu bhana.
 
hahaaa! Kuna maisha baada ya uchaguzi

hahahahaha!!! Sisi hata kabla ya uchaguzi bado ni ndugu.

Kaka bora uniandae mwaka 2020 nikakae mim pale ili tukakafanye ka kyela kuwa kadubai kadogo.
 
Sisemi kutoka kichwani kwangu. Wao wenyewe wanatamka hayo.
Kwani wewe hujasikia kiongozi anasema hiki chama Dume. Ushindi lazima hata kwa goli la mkono. Hukusikia kiongozi anasema nchi haikabidhiwi kwa vikaratasi. Na kauli nyingine nyingi zimesemwa. Ni dalili tosha kwamba hawakubali matokeo.ma mifano hai ilijionesha kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa,sehemu walizo shinda wao walitangaza matokeo harakaharaka. Sehemu walizoshindwa palikuwa na matatizo mengi sana. Mara kiponga mahakamani na mara hata kuwaapisha walioshinda ikawa tatizo. Hizo ni dalili za kutokubali matokeo.
Umeshuhudia wengine hata tuu katika kura za maoni wanarusha ngumi. Ijekuwa kuachia madaraka???
Wanasema tuu wapinzani wana uchu wa madaraka lakini uhalisia ni wao haswaaa.

Ndugu subiri muda ufike upige kura yako, mi nadhani unaweza kupata ugonjwa wa moyo kwa kufikiria vitu kama hivyo

kabla ya muda.
 
Naona watanzania tunazidi kuichukia amani tunataka kuishi maisha kama Syria. Haya ngoja tuone angalau waswahili usema haba na haba ujaza kibaba. Haya mapenzi sijui mahaba kwa wanasiasa yaliyozuka mwaka huu yaweza kutuletea machafuko tusipokuwa makini.

HII MILA YA KIONEVU YA KUBANDUA MABANGO YA VYAMA VINGINE ITATUGHARIMU

inakera sana!
 
atoke tuu maana alihadaaa umma wa wa TZ wakat ukweli aliujua na akaficha baadhi ya mambo mie nasema akuna namna umwagwe tuu
 
Nimesikiliza clip iliyowekwa you tube ambayo Kubenea alikuwa anamchana laivu, daaaah. Kubenea noma sana.
Eti jamaa kaoa mchaga, halafu anaishi Dar, watu wa Kyela atawasaidia vipi?
Kamtosa Mwandosya kisa alihaidiwa Uwaziri Mkuu na Membe akaambiwa ampunguze nguvu Mwandosya kwa kuchukua fomu ya Urais. Kama kaweza kumtosa Mwandosya wa mkoa mmoja na yeye ataweza vipi kuwapenda watu wa Mbeya, Kyela huko?

jiangalizie mwenyewe uhondo huu hapa:

http://youtu.be/hg5lJvFgWOM
 
hahahahaha!!! Sisi hata kabla ya uchaguzi bado ni ndugu.

Kaka bora uniandae mwaka 2020 nikakae mim pale ili tukakafanye ka kyela kuwa kadubai kadogo.

itakuwa poa sana mm ntakuwa katibu wako, sio mbaya nasisi tukafanya maajabu
 
HII MILA YA KIONEVU YA KUBANDUA MABANGO YA VYAMA VINGINE ITATUGHARIMU

inakera sana!

na hii tabia alinazisha sugu mbunge mzima bila hata haya akaenda kubandua mabango, watu ndio wanaliendeleza
 
Nicholas,

Ndugu yangu Umezungumza maneno mazito sana!..na kila kitu umekichambua kiutaalam na pia umeweza kuzama ndani ya mioyo ya watu wote - Waathirika na hao warithi wanaofaidika. Swala kubwa tu ambalo ningekuomba labda utufunulie ama kutupatia ufumbuzihapa...

Tuanzie wapi... wapi panatakiwa kweli serikali yetu iwekee mkazo zaidi kwa sababu mimi binafsi kinachonishinda kuelewa na hata kupata ufumbuzi ni kwamba haohao viongozi wetu - wanasiasa ndi haohao wasomi wetu wa uchumi na watoa maamuzi ya sehemu zote mbili. Siamini kabisa kwamba tuachie dunia iwe fundisho la utandawazi na dira ya maendeleo yetu. Lazima ipo njia ya kutupa hata mwanga wapi wananchi wanatakiwa waelekee! hata kwa jina kama waislaam wanavyoamini KIBLA ni MECCA.. kokote uliko maelekeo yako yatalenga malengo ya hilo neno Kibla.

Mwisho kuna kipengele umezungumzia kuwa wananchi bado hawapo tayari kuhimili mabadaliko ya kuleta usawa na haki. Ebu nipe dawa kidogo hapo maanake nimekwama.

Lazima tuishangaze dunia, hahahahaha.

Sijakuona hewani muda vipi line ya voda ina shida???
 
kaifanyia mengi tu. Kama umeme toka ipinda mpaka matema, katengeneza barabara toka jiapanda lusungo hadi busona kuelekea matema. Japo ana mabaya yake lakn hata mazur anayo

Hiyo barabara amejenga nani? Mbona mnatuchanganya? Juzi alipokuja magufuli mkasema yeye ndie kaijenga leo unasema mwakyembe, kesho mtasema diwani wa ccm, keshokutwa mkuu wa wilaya, mtondo Jk. Acheni ubabaishaji. Barabara zote zinajengwa kwa mpango maalum wa serikali kwa pesa za umma hakuna mbunge anayejenga barabara.
 
hahahahaha!!! Sisi hata kabla ya uchaguzi bado ni ndugu.

Kaka bora uniandae mwaka 2020 nikakae mim pale ili tukakafanye ka kyela kuwa kadubai kadogo.

ni hivi , mwakyembe anang'olewa octoba hii , hatusubiri chochote ! wana kyela tumeamua kumaliza tatizo la kichocho na kipindupindu , tutaboresha bei ya cocoa na kutafuta soko la uhakika la mpunga na mchele , tutahakikisha unapatikana usafiri wa uhakika wa kusafirisha mchele wetu ambao utamu wake hakuna nchi hii kwenda mikoa ya mbali kwa bei nafuu sana , kubeba kilo 20 tu kwenye NEW FORCE Bei yake ni hatari !
 
Back
Top Bottom