Dr. Mwakyembe hali tete jimboni Kyela

Dr. Mwakyembe hali tete jimboni Kyela

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,401
Mkutano wa mgombea Ubunge wa CCM Kyela Harrison mwakiembe ulivunjika kwa vurugu na kusababisha police kupiga mabomu ya machozi .

Chanzo cha vurugu hizo inadaiwa ni wafuasi wa CCM kung'oa mabango ya mgombea Urais wa CHADEMA kupitia UKAWA Edward Lowassa ndipo vijana wa UKAWA walipochukia na kuamua kuwafuata mkutanoni alikokua Mwakiembe wakati akizindua kampeni zake.
 
Daaaah
Jibaba ana hali mbaya sana.
Aachane na siasa arudi kushika chaki tu bhana.
 
Ule ugonjwa umemwathiri sana Mwakyembe.
 
Huyu ndiye Fisadi namba moja wa Richmond na anastahili kushitakiwa.Kwa nini hakuwataja watuhumiwa wa Richmond kweye repoti aliyotumwa na bunge?
 
mwaka huu watu walishasema baaaaasi....ccm msipobadili ile hali ya kutaka kubebwabebwa wallah mtaambulia moto wa vujapo toka kwa vijana walochoka na maisha wale malofa
 
Tupiapo kapicha kakionyesha kitofa kikiwa hewani basi....hivi hivi inakuwa ngumu kumetha athee..
 
Ni baada ya kuwata vijana wake kwenda kubandua mabango ya Lowassa. Ndipo wananchi walipomcharukia na kutaka kumpa kisago cha maana. Polisi ndio waliomnusuru na kichapo cha wananchi
tutaamini namna gani?
 
Back
Top Bottom