Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,510
- 283,965
hizi siasa mpya alizokuja nazo mwakyembe zitamgharimu sana , kyela ile siyo hii , sasa hivi nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe , shukrani kwa jeshi la polisi kuepusha umwagikaji wa damu .
asante mkuu kwa kufichua siri ambayo wanaccm wa kyela hawakutaka ifahamike ili kuepuka aibu .Ni baada ya kuwata vijana wake kwenda kubandua mabango ya Lowassa. Ndipo wananchi walipomcharukia na kutaka kumpa kisago cha maana. Polisi ndio waliomnusuru na kichapo cha wananchi
Ni baada ya kuwata vijana wake kwenda kubandua mabango ya Lowassa. Ndipo wananchi walipomcharukia na kutaka kumpa kisago cha maana. Polisi ndio waliomnusuru na kichapo cha wananchi
kyela wakikuchoka ni bora kujitoa tu , vinginevyo utadhalilika vibaya sana !Ingetakiwa wamchape
umeandika mazito sana !Laana ya damu za Watanzania waliopoteza maisha kwa ajili ya rushwa, ujinga na ufisadi wa ccm inawaandama. Hasa kwa hila na unafiki wa huyu jamaa, lazima awe wa kwanza kulipia!.
Mabehewa fake, wizi wa bandarini, kuficha report ya Richmond na kuepuka kuitumia kwa maslahi ya nchi badala yake anaitumia kuhujumu uhai wa Wtanzania. Huu ni mwanzo tu. Dunia itashuhudia.
tutaamini namna gani?
Alisema wengine akiwataja tu serikali chali, kumbe angetaja tungerudia uchaguzi, huyu ndiye muuaji mkuu.Huyu ndiye Fisadi namba moja wa Richmond na anastahili kushitakiwa.Kwa nini hakuwataja watuhumiwa wa Richmond kweye repoti aliyotumwa na bunge?
umeandika kikamavu sana ! bila shaka wewe ni kamanda kutoka ipinda .Wanyakyusa wameamua mwaka huu, operation delete ccm majimbo yote. Kyela inaenda ukawa mwaka huu hili halina ubishi. Yeye ni mnyakyusa alitakiwa aelewe misimamo ya wanyaki wenzie. Wakisema no wanamaanisha no.
umeandika kikamavu sana ! bila shaka wewe ni kamanda kutoka ipinda .
siasa za kishamba kyela hazikubaliki .