Dr. Mwakyembe hali tete jimboni Kyela

Dr. Mwakyembe hali tete jimboni Kyela

kaifanyia mengi tu. Kama umeme toka ipinda mpaka matema, katengeneza barabara toka jiapanda lusungo hadi busona kuelekea matema. Japo ana mabaya yake lakn hata mazur anayo

Hako kawilaya ni kadogo sana kaka, isitoshe ni tambarale aliyofanya amejaribu tu.

Kwanza umeme kyela tangu mwakyembe aingie nakutoa kwenye mfumo wa umeme wa kiwira coalmine, kyela ni giza tupu, barabara za mitaa kyela mjini ni vumbi la ajabu,

Kamalizia machache aliyoanzisha mwakipesile ila yeye hajafanya kitu, hata mim nasapoti apumzike.
 
na wewe. sasa hali tete iko wapi???
Mkutano wa mgombea Ubunge wa CCM Kyela Harrison mwakiembe ulivunjika kwa vurugu na kusababisha police kupiga mabomu ya machozi .

Chanzo cha vurugu hizo inadaiwa ni wafuasi wa CCM kung'oa mabango ya mgombea Urais wa CHADEMA kupitia UKAWA Edward Lowassa ndipo vijana wa UKAWA walipochukia na kuamua kuwafuata mkutanoni alikokua Mwakiembe wakati akizindua kampeni zake.
 
Mwakyembe unafiki utamponza, aliwahi kuahidi kuwataja waliotaka kumbadilisha awe albino...mpaka leo kimyaa.Hawa sio aina ya viongozi tunaowataka
 
Kama upepo wa kisiasa nlouona Kyela mwaka jana bado uko vile vile, basi Harrison Mwakyembe (PhD) anaweza asipenye.

Nilifanya mahojiano na vijana wa pale stand na baadhi ya wananchi kule Matema, hakika walionesha kutoridhishwa naye.

Yetu macho. Haya mabadiliko tutashuhudia mengi.
 
Laana ya damu za Watanzania waliopoteza maisha kwa ajili ya rushwa, ujinga na ufisadi wa ccm inawaandama. Hasa kwa hila na unafiki wa huyu jamaa, lazima awe wa kwanza kulipia!.

Mabehewa fake, wizi wa bandarini, kuficha report ya Richmond na kuepuka kuitumia kwa maslahi ya nchi badala yake anaitumia kuhujumu uhai wa Wtanzania. Huu ni mwanzo tu. Dunia itashuhudia.

Msg yako imenigusa sn, na natumaini itawagusa watz wote wasiopenda dhuluma na ukandamizaji
 
USHAURI - Mwakyembe waombe radhi wana kyela halafu jitoe kwenye uchaguzi , utasamehewa na kuheshimiwa .
 
Naona watanzania tunazidi kuichukia amani tunataka kuishi maisha kama Syria. Haya ngoja tuone angalau waswahili usema haba na haba ujaza kibaba. Haya mapenzi sijui mahaba kwa wanasiasa yaliyozuka mwaka huu yaweza kutuletea machafuko tusipokuwa makini.
 
Naona watanzania tunazidi kuichukia amani tunataka kuishi maisha kama Syria. Haya ngoja tuone angalau waswahili usema haba na haba ujaza kibaba. Haya mapenzi sijui mahaba kwa wanasiasa yaliyozuka mwaka huu yaweza kutuletea machafuko tusipokuwa makini.

Watawala wamejisahau, wanaamini ni wao tuu wenye hati miliki na nchi hii. Hamna mwingine mwenye uwezo wa kuongoza. Kwahiyo wakiambiwa watoke wanaona utaleta vita. Sijui vita inatoka wapi hapo sijaelewa.
 
Hako kawilaya ni kadogo sana kaka, isitoshe ni tambarale aliyofanya amejaribu tu.

Kwanza umeme kyela tangu mwakyembe aingie nakutoa kwenye mfumo wa umeme wa kiwira coalmine, kyela ni giza tupu, barabara za mitaa kyela mjini ni vumbi la ajabu,

Kamalizia machache aliyoanzisha mwakipesile ila yeye hajafanya kitu, hata mim nasapoti apumzike.

ukisema alimalizia ya mwakipesile napingana naww. Kat ya wabunge mizigo au bogus iliyowahi kutokea hapa tz basi mwakipesile ni namba moja.
Lile lilikuwa zigo.

Mkuu unajua kwann mwakyembe aliingia kwenye mgogoro wa chinichini na mwakipesile?

Unajua kwann baada ya mwakyembe kuwa mbunge na kikwete alimpa mwakipesile ukuu wa mko?

Hapo kulikuwa na roadblock ambayo ilikuwepo lakn sasa tutaona mengi.

Kipindi mwakipesile anaondoka kwenye ubunge kyela kulikuwa na kampuni moja tu la cocoa nalo ni METL na bei ya cocoa ilikuwa sh 800 tu tena kwa mkopo.

Lakn baada ya mwakyembe kuingia kayaleta makampuni mengne na bei ikapanda.

Mnyonge mnyongen na haki yake mpeni..

Leo mnasema wakisi wakuvua samaki waje bungen watasaidia nn?
Tukianza na majimbo ambayo ya chadema kama mbeya mjin Sugu kafanya nn zaidi ya kurap tu bungne?, msigwa kafanya nn jimbon kwake? Mnyika kafanya nn jimbon kwake mpaka ameamua kulikimbia kwasababu ya hasira ya wananchi?
Mdee kafanya nn zaidi ya mchezo mchafu na ester bulaya.

Tumwache mwakyembe aendelee kufanya kaz pamoja na tingatinga
 
mwanjelwa ni soko la umma isingewezekana ccm peke yao waweke mabango yao wengine hapana .

kwan wao Chadema walikatazwa?

Unajua tatzo moja chadema wafuasi wake wengi ni wale bodaboda,wapiga debe na wale wavuta bangi wanaoshinda vijiwen...

Wale vijana waliona wivu baada ya kuona mwakyembe ameiteka kanga yote, ikulu, mabunga kote kule maeneo ya talatala watu walijaa.

Lakn ngoja hao vijana chamoto watakiona tu
 
Back
Top Bottom