Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
kitila mkumbo kwa sasa amechafuka
Kwa mujibu wa press release iliyotolewa juzi tar 16/7/2012 na ofisi ya uhusiano ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kamanda Dr. Kitila A. K. Mkumbo ni mmoja wa walioteuliwa kuwa wakuu wa vitivo katika vyuo vikuu vishiriki vya elimu vya Mkwawa na Dar es Salaam.
Huku Dr. Mkumbo akiwa ameteuliwa kuwa mkuu wa kitivo cha elimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu, Dar es Salaam yaani (Dean, Faculty of Education at the Dar es Salaam University College of Education).
Kwa kweli anastahili, Hongera sana Kamanda Mkumbo
Hivi kwa akili zenu mnafikiri kumng'oa Mwigulu jimboni ni rahisi kiasi hicho. haya mvimbisheni kichwa mwenzenu asifanye kazi kwa bidii awaze ubunge wa iramba magharibi, atapigwa chini mchana kweuupeeee.
like ur not the same to stupidAfanye kazi mwajiri wake aliomtuma, sio kuiba muda wa mwajiri wake kushinda JF na kupika majungu ya chademu.
Mtu kateuliwa mnasema kaula. Akila rushwa au kuiba mnalalamika. Ataulaje bila kuiba ama kula rushwa? Nadhani ilitakiwa kumuonea huruma kwani kuna matatizo mengi (siyo changamoto) anayoenda kupambana nayo.
Kwa mujibu wa press release iliyotolewa juzi tar 16/7/2012 na ofisi ya uhusiano ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kamanda Dr. Kitila A. K. Mkumbo ni mmoja wa walioteuliwa kuwa wakuu wa vitivo katika vyuo vikuu vishiriki vya elimu vya Mkwawa na Dar es Salaam.
Huku Dr. Mkumbo akiwa ameteuliwa kuwa mkuu wa kitivo cha elimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu, Dar es Salaam yaani (Dean, Faculty of Education at the Dar es Salaam University College of Education).
Kwa kweli anastahili, Hongera sana Kamanda Mkumbo
Basi kuna jamaa lilisema hapa JF kuwa CDM hakuna wasomi..!! Sasa cjui, MSOMI ni mtu gani kama hata Dr. Mkumbo sio MSOMI??
- Saafi sana Dr. Kitila Mkumbo, I respect the guy kwa sababu ana great ideas za mabadiliko kwa taifa, hajui kuzunguka mbuyu he is straight to the point ila nimesikitika kutomsikia akisema anything kuhusu vurugu nyingi zisizo na tija kwa taifa zinazoendelea sasa hivi kisiasa,
- otherwise, he great na I cant wait one day to work with him kuelekea kwenye reform kwa this nation.
- SALUTE DR. KITILA!
FMES!!
Dr wa ukweli utamwona tu Hongera wa kukaya nenda kasaidiane na msigwa kuimarisha peoples powerHongera Dr,wewe ni kati ya wasomi wanao simamia misimamo yao,wewe si mnafiki kama wale jamaa wa REDET.
ndio matatizo ya shule za kata, sa ndo umeandika nini?like ur not the same to stupid
hujalazimishwa kusoma posts zangu, niweke kwene ignore list! btw, news flash, mpuzi ni wewe.nukta.kumbe na wewe una michango ya kipuuzi kama hii?
inahu? katafte sehemu ya kuzimua makande yako na mayai ya kuchemsha ya bata ya mama ntilie na uji ya magimbi.ebo.sio yale ya kadhi
nipo sana JF wewe tu ndo labda huwaga unavaa miwani ya mbao.mkuu umepotea...
All the best mbunge mtarajiwa!
umejuaje natumia viroba?. btw, nimevumbua cocktail moja matata sana ya kiroba 3 + juice ya Azam (chungwa) robo glass + sprite au 7 up robo glass...hii cocktail aminia!hivi viroba vinatumalizia sana vijana!
ongea lugha ya taifa..lazima ulibemendwa wewe.