TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Badilisha kichwa cha habari "aula" ndiyo nini, una maana haendi kufanya yaliyotarajiwa bali kujineemesha?
Hakuna kula,kunywa na kulala mpaka kieleweke.
Badilisha kichwa cha habari "aula" ndiyo nini, una maana haendi kufanya yaliyotarajiwa bali kujineemesha?
Kwa mujibu wa press release iliyotolewa juzi tar 16/7/2012 na ofisi ya uhusiano ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kamanda Dr. Kitila A. K. Mkumbo ni mmoja wa walioteuliwa kuwa wakuu wa vitivo katika vyuo vikuu vishiriki vya elimu vya Mkwawa na Dar es Salaam.
Huku Dr. Mkumbo akiwa ameteuliwa kuwa mkuu wa kitivo cha elimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu, Dar es Salaam yaani (Dean, Faculty of Education at the Dar es Salaam University College of Education).
Kwa kweli anastahili, Hongera sana Kamanda Mkumbo
mkuuMkumbo yupi?
yule aliyekuwa anatetea upuuzi wa wazungu kule Zimbabwe hapa JF au mwingine?
I just hope ni mwingine
Mkumbo yupi?
yule aliyekuwa anatetea upuuzi wa wazungu kule Zimbabwe hapa JF au mwingine?
I just hope ni mwingine
Sababu ya kila mtu kupewa nafsi yake ni kufikiri/kufanya utafiti/kujua/na kusema kwa kiwango chake!.. Hicho unachodai ni "UPUUZI WA WAZUNGU ZIMBABWE" bado na wewe hujui/hujafanya utafiti na hujafikiri vya kutosha ndiyo maana umeita ni Upuuzi... Just think and write again! Please!..
Wewe ni Yule Mallya naekufahamu au mwingine....
Kwa mujibu wa press release iliyotolewa juzi tar 16/7/2012 na ofisi ya uhusiano ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kamanda Dr. Kitila A. K. Mkumbo ni mmoja wa walioteuliwa kuwa wakuu wa vitivo katika vyuo vikuu vishiriki vya elimu vya Mkwawa na Dar es Salaam.
Huku Dr. Mkumbo akiwa ameteuliwa kuwa mkuu wa kitivo cha elimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu, Dar es Salaam yaani (Dean, Faculty of Education at the Dar es Salaam University College of Education).
Kwa kweli anastahili, Hongera sana Kamanda Mkumbo