Kwanza nimpongeze Doctor Mkumbo hongera sana unastahili kwani kwenye uchapa kazi uzembe hujitenga;wewe ni mchapa kazi na kiongozi makini, hongera. Pili niupongeze uongozi wa UDSM kwa kuuona ukweli, kuweka kando siasa za vyama na kuangalia maslahi ya Chuo Kikuu na Taifa. Hongera Prof. Rwekaza Mukandala na timu yako.[/QUOTE]
aka MAPACHA WATATU
1.MABOKO MAKENYA AKA MA-STICK
2.MGAYA YUNUS
3.RWEKAZA MUKANDALA