Dr. Mathayo's Degrees Are Authentic - TCU

Asante sana kuwa mkweli.....hahahahah gongesha glass hapo! Muulize mdogo wako Wabs Canada PhD miaka mingapi?

Ndo ukweli wenyewe , na ukweli unatofautiana nchi hadi nchi

Hawa jamaa unapiga Ph.D yako miaka hiyo na kuna kitu kingine kinaitwa Habilitation nacho kinaspendi miaka mingine kadhaa.
 
Wanaomaliza hizo PhD in less than 3 years ni wale waliounganisha na Masters and usually they have to be very "outstanding" academically,and have to be the top 5% in the program.

In many years i have been in ASIA,this is just not possible for an african kid to go there and be the top 5% in Tokyo university,not yet,let alone this privilege is reserved for Students studying in Japanese.a lot of these things you can't understand until you get there,not by internet,not from a brochure.

usisome mavitu kwenye internet and take them for granted that is a very bad generalization of the reality.

Jamani naomba mwenye ujumvi wa kupandisha pdf tumalize ubishi.

Kila mmoja anatambua hilo, na msimamo wangu na wengine baadhi ni kwamba ktk baadhi ya nchi wanaangalia mda uliofanya masters na nini ulikifanya huko na mwendelezo wake hivyo unakuwa na possibility ya kufanya Ph.D ndani ya miaka miwili.

Kuendelea ku argue kwa vitu obvious, is quite Protestant
 
Masanilo msaidie mwenzio.

Contact Information
Admissions Office (AO)
Graduate School of Science and Technology
Keio University
3-14-1 Hiyoshi, Kohoku-ku, Yokohama
Kanagawa 223-8522
JAPAN
Fax: +81-45-566-1464
URL: http://www.st.keio.ac.jp/english/index.html
E-mail: ao_st_inquiry@info.keio.ac.jp

Length
The Ph.D. program is normally completed in three academic years. There are some exceptions where a student may complete
his doctoral program in one to two and a half years (a total of three or more years including the time the student has spent in his
master’s program) if he produces outstanding research results.

why don't you call them and ask them in Japanese?!no you can't because you probably don't speak any and presumably are supposed to study and pass Japanese tests before enrolling for those programs.

the simple picture is your expectations will be blown out of the door the moment you meet your supervisor and you realize that the admission office has no say whatsoever to your supervisor decide.

you will also be utterly disappointed to learn that the best professors do not speak a word of English,and you have to spend a year or two learning their language.

and if you are like most Tanzanians you will opt for a 3rd rated university where no body really gives shit about you,find an English program and get yourself a PhD in 2.5 years.How pathetic!
 
Jamani naomba mwenye ujumvi wa kupandisha pdf tumalize ubishi.

Kila mmoja anatambua hilo, na msimamo wangu na wengine baadhi ni kwamba ktk baadhi ya nchi wanaangalia mda uliofanya masters na nini ulikifanya huko na mwendelezo wake hivyo unakuwa na possibility ya kufanya Ph.D ndani ya miaka miwili.

Kuendelea ku argue kwa vitu obvious, is quite Protestant

Tatizo kwenye hizo nchi Japan/china zitoe.Haiwezekani kwa Mtanzania kufanya hivyo kama yupo kwenye respectable university.kama hutaki sawa.sitakubishia.

it is possible kwa mwembe kuota Tabora but extremely rare kuukuta Beijing.reason,Weather.

It is possible kwa top 5% chinese students kumaliza PhD yao in 2.5 years(tena wale waliounganisha Masters),But it is a Pipe dream for an A student to become even that top 5%,let alone graduate ahead of time.

Watanzania bwana,we are so quick to ask how long will it take instead of how much we will achieve.
 
why don't you call them and ask them in Japanese?!no you can't because you probably don't speak any and presumably are supposed to study and pass Japanese tests before enrolling for those programs.

the simple picture is your expectations will be blown out of the door the moment you meet your supervisor and you realize that the admission office has no say whatsoever to your supervisor decide.

you will also be utterly disappointed to learn that the best professors do not speak a word of English,and you have to spend a year or two learning their language.

and if you are like most Tanzanians you will opt for a 3rd rated university where no body really gives shit about you,find an English program and get yourself a PhD in 2.5 years.How pathetic!

Na inakuwa je kwa watanzania waliosoma hapo japan, bachala,masta?? wanahitaji kwenda language school, probably not.

why do you want consider only newbies? Mkubwa nafikiri umeiingia katikati ya msafara hukujuwa msafara umetokea wapi. Maswali yako yanadhihirisha hilo.

Kifupi mjadala ulikuwa hivi.Hakuna mahala popote duniani mtu ambaye anaweza fanya Ph.D chini ya miaka 3. Hata hivyo sitokulaumu maana ni page nyingi sana kusoma michango yote.
 
.

i have learned that recently there are many 2nd,3rd tier universities in ASIA that do not give shit about what you have done for your thesis.any university that has an english program in Japan,China,Taiwan does not give shit what you do in those programs,avoid those if you care about your education.if you care enough to do a a year or 2 in their language that will take you more time but will eventually give you better education.So i can reiterate that.i understand that part of the world enough to say 2 years and you walk away with a PhD is a PIPE DREAM!

I may differ with you, kama unajilipia ndio sema hivyo, lakini kama ni serious scholarship wamekupa wenyewe maana yake kuna mahitaji ya reserach, mpaka ukamilishe au utatue tatizo lao ndio wanakupa cheti! sijajua labda uniambie their reserach fund does not meant kutatua matatizo yao, watakuwa hawana tofauti na serikali ya CCM!

Teh teh teh labda kama ni masomo ya mahoka! Animal science ama Agriculture lazima uwe maabala! India, Botswana na South Africa hahahaha acheni kulazimisha vijana....arudi darasani bado kijana yule! Siasa hata ukiwa na Dip haina shida

Unaweza kuregister chuo fulani , ukafanya thesis Tz, ukawa unaenda kwenye hicho chuo kwa ajili ya kuonana na supervisor. wengi sana sasa hivi wanafanya hivi kwa sababu nyingi.wanaogopa kusahaulika hivyo kukosa connection baada ya kuzikwa nchi za watu miaka minne, wengine kubana matumizi kama umelamba scholarship Europe wanakupa stipend Euro 1000 kwa mwezi, hii ni fedha nyingi kama unaishi Tz.

Kama unahitaji maabara, na maabara zetu tunazijua wenyewe lazima uwe huko huko?

Asante sana kuwa mkweli.....hahahahah gongesha glass hapo! Muulize mdogo wako Wabs Canada PhD miaka mingapi?

Huku noma, mimi mwenyewe sipendi. Canada minimum ni mika 4 tena kaama umeunganisha title ya mastesr basi miaka minne unaeza kumaliza.

Otherwise ni miaka 5-7, kama uko industry kuna wanaopiga PhD mpaka miaka 10!!

Personally I believe, PhD ni requirements kwenye academic institution it has nothing to do with everyday life. Unless kama ni researcher na reserach zako ziko sokoni zinauzika, otherwise. Ukianza kuanzia darasa la kwanza mpaka A-level miaka 13, + 4 chuo+2 masters+ 5PhD!= 24yrs! unasoma tu! kwa wenzetu inalipa fedha zipo, ila dunia ya tatu, kuna walakini!

Ndiyo maana nikauliza hivi wa nini hawa mawaziri wanataka PhD? uitwe Dr?? tu

Tatizo ni kuwa miradi ya Wordlbank, IMF, United nations n.k wanapenda research zao zifanywe na PhD holder, na inalipa kweli politician wanapopata hii miradi inabidi wawasukumie lecturers vyuoni! jamaa wanapiga kazi na kupokea fedha yao.

Hii issue imepersist kwa muda, kinachoonekana hapa ni kuwa hawataki miradi ifike kwa hawa wataalamu halisi, wanamaliza wao wenyewe au wanafanyika madalali....maisha yanaendelea

Huu nao ni ufisadi japo wa kisasa zaid!
 
Tatizo kwenye hizo nchi Japan/china zitoe.Haiwezekani kwa Mtanzania kufanya hivyo kama yupo kwenye respectable university.kama hutaki sawa.sitakubishia.

it is possible kwa mwembe kuota Tabora but extremely rare kuukuta Beijing.reason,Weather.

It is possible kwa top 5% chinese students kumaliza PhD yao in 2.5 years(tena wale waliounganisha Masters),But it is a Pipe dream for an A student to become even that top 5%,let alone graduate ahead of time.

Watanzania bwana,we are so quick to ask how long will it take instead of how much we will achieve.

Unachosema nakubaliana na wewe, kuwa 2.5-3yrs unaweza kumaliza PhD , the concern ni kuwa how good it is, hilo tuko pamoja mkuu! na ndio maana hata mimi nilivyoona hivyo vyuo nikashtuka,lakini kwa mfano Tohuku ni cha 73 duniani, sio chuo kidogo!

Hii ishu ya elimu bora ina maswali mengi sana, tumewapiga sana madongo Kenya na system yao ya elimu, lakini wametuacha mbali sana kimaendeleo, unless kama elimu yetu haina link na maendeleo!

forget that

Kimweri unasoma masters au PhD? , I am just curious to know nitakuuliza swali lingine
 
I may differ with you, kama unajilipia ndio sema hivyo, lakini kama ni serious scholarship wamekupa wenyewe maana yake kuna mahitaji ya reserach, mpaka ukamilishe au utatue tatizo lao ndio wanakupa cheti! sijajua labda uniambie their reserach fund does not meant kutatua matatizo yao, watakuwa hawana tofauti na serikali ya CCM!
vitu vingine ndugu vinahitaji first hand Experiene kuelewa.Asian culture is heavily mis-understood.
A typical Chinese will spend $2M to buy an apartment in Beijing yet they are reluctant to spend just $100,000 buying a car or $500 buying an original Gucci bag. These are things you will never understand unless you spend considerable time(6+ years learning about such cultures)

kuhusu wao kukupa scholarship na kuto-give shit about you inaonekana hujawahi kwenda "ASIA" and hujawahi kusoma kwenye "asian" institute.
 
Unachosema nakubaliana na wewe, kuwa 2.5-3yrs unaweza kumaliza PhD , the concern ni kuwa how good it is, hilo tuko pamoja mkuu! na ndio maana hata mimi nilivyoona hivyo vyuo nikashtuka,lakini kwa mfano Tohuku ni cha 73 duniani, sio chuo kidogo!

Hii ishu ya elimu bora ina maswali mengi sana, tumewapiga sana madongo Kenya na system yao ya elimu, lakini wametuacha mbali sana kimaendeleo, unless kama elimu yetu haina link na maendeleo!

forget that

Kimweri unasoma masters au PhD? , I am just curious to know nitakuuliza swali lingine

SIKUBALIANI na MTANZANIA kumaliza PhD kwenye recognizable institution in China,japan,Taiwan in less than 3 years and that's a fact.Outstanding Japanese/chinese will do that,not a foreigner.

brochure watu wanazosoma sometimes ni generalization mno,vitu vingine havihitaji rocket science kujua vinawezekana au la/

I finished my Academic encounters about a decade ago, did 5+ years of research,although my day job is still mainly research/academic tied.
next question please,
 
I may differ with you, kama unajilipia ndio sema hivyo, lakini kama ni serious scholarship wamekupa wenyewe maana yake kuna mahitaji ya reserach, mpaka ukamilishe au utatue tatizo lao ndio wanakupa cheti! sijajua labda uniambie their reserach fund does not meant kutatua matatizo yao, watakuwa hawana tofauti na serikali ya CCM!



Unaweza kuregister chuo fulani , ukafanya thesis Tz, ukawa unaenda kwenye hicho chuo kwa ajili ya kuonana na supervisor. wengi sana sasa hivi wanafanya hivi kwa sababu nyingi.wanaogopa kusahaulika hivyo kukosa connection baada ya kuzikwa nchi za watu miaka minne, wengine kubana matumizi kama umelamba scholarship Europe wanakupa stipend Euro 1000 kwa mwezi, hii ni fedha nyingi kama unaishi Tz.

Kama unahitaji maabara, na maabara zetu tunazijua wenyewe lazima uwe huko huko?



Huku noma, mimi mwenyewe sipendi. Canada minimum ni mika 4 tena kaama umeunganisha title ya mastesr basi miaka minne unaeza kumaliza.

Otherwise ni miaka 5-7, kama uko industry kuna wanaopiga PhD mpaka miaka 10!!

Personally I believe, PhD ni requirements kwenye academic institution it has nothing to do with everyday life. Unless kama ni researcher na reserach zako ziko sokoni zinauzika, otherwise. Ukianza kuanzia darasa la kwanza mpaka A-level miaka 13, + 4 chuo+2 masters+ 5PhD!= 24yrs! unasoma tu! kwa wenzetu inalipa fedha zipo, ila dunia ya tatu, kuna walakini!

Ndiyo maana nikauliza hivi wa nini hawa mawaziri wanataka PhD? uitwe Dr?? tu

Tatizo ni kuwa miradi ya Wordlbank, IMF, United nations n.k wanapenda research zao zifanywe na PhD holder, na inalipa kweli politician wanapopata hii miradi inabidi wawasukumie lecturers vyuoni! jamaa wanapiga kazi na kupokea fedha yao.

Hii issue imepersist kwa muda, kinachoonekana hapa ni kuwa hawataki miradi ifike kwa hawa wataalamu halisi, wanamaliza wao wenyewe au wanafanyika madalali....maisha yanaendelea

Huu nao ni ufisadi japo wa kisasa zaid!

Ukitulia mdogo wangu unajua kujenga hoja!joke... Nina hakika ninakuzidi umri hata kama hutaki....Kifupi ninamfahamu Matayo David Msuya vizuri tu hapa tunapiga porojo ukweli utabaki ule ule jamaa baada ya kumaliza SUA hajawahi kuingia darasa lolote ni ujanja ujanja kupata vyeti alivyo navyo. Sintochangia hapa tena isije onekana ninamuonea wivu Mh Waziri mwenye Degree fake! Nice discussion ila msitumie nguvu sana kwenye obvious issues
 
SIKUBALIANI na MTANZANIA kumaliza PhD kwenye recognizable institution in China,japan,Taiwan in less than 3 years and that's a fact.Outstanding Japanese/chinese will do that,not a foreigner.

brochure watu wanazosoma sometimes ni generalization mno,vitu vingine havihitaji rocket science kujua vinawezekana au la/

I finished my Academic encounters about a decade ago, did 5+ years of research,although my day job is still mainly research/academic tied.
next question please,

what you admited is what we advocated, thank you.
 
..huyu jamaa ni Matayo David lakini naona wananchi wanalazimisha jina Msuya ili naye aunganishwe katika chuki na kashfa zinazomuandama CD Msuya.

NB:
..hata kama aliwahi kutumia u-bin wa Msuya nadhani kwa sababu zake binafsi ameuamua kwa sasa hivi ajulikane kama Matayo David.
 
..huyu jamaa ni Matayo David lakini naona wananchi wanalazimisha jina Msuya ili naye aunganishwe katika chuki na kashfa zinazomuandama CD Msuya.

NB:
..hata kama aliwahi kutumia u-bin wa Msuya nadhani kwa sababu zake binafsi ameuamua kwa sasa hivi ajulikane kama Matayo David.

And ur point is...........................................!!
 
SIKUBALIANI na MTANZANIA kumaliza PhD kwenye recognizable institution in China,japan,Taiwan in less than 3 years and that's a fact.Outstanding Japanese/chinese will do that,not a foreigner.

brochure watu wanazosoma sometimes ni generalization mno,vitu vingine havihitaji rocket science kujua vinawezekana au la/

I finished my Academic encounters about a decade ago, did 5+ years of research,although my day job is still mainly research/academic tied.
next question please,

kwa hiyo hawa wa mlimani niliowataja hapo juu waliochukua Japan nao wamefoji? au hao sio watanzania ni wajapani?

mkuu unataka ulichokipitia wewe kila mtu akifanye au unarekodi ya vyuo vyote hivi?

[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_universities_in_Japan"]http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_universities_in_Japan[/ame]


sasa kwa mimi nisiyejua ili wala lile, unataka nimuamini nani, wewe au chuo kilichompa mtu degree? na ikapokelewa na UDSM pamoja na urasimu wao?

mkuu hatubishani humu kama unaona ni njia nzuri kusimamia unachoamini kwa style unayoamini sawa haina shida

Nilikuomba pia unisaidie kupata chuo Japan kinachotoa PhD za engineering kwa muda wa kuanzia miaka 3.5-4.5 kama ulivyosema awali nataka nikajifiche huko!
 
..mpaka sasa sina uhakika kama Matayo ana PhD au la.

..mpaka sasa hivi sina uhakika ni muda gani mwanafunzi anapaswa kusoma kumaliza PhD.

..mjadala huu haujanisaidia ktk maswali hayo mawili hapo juu.
 
Jamani naomba mwenye ujumvi wa kupandisha pdf tumalize ubishi.

Kila mmoja anatambua hilo, na msimamo wangu na wengine baadhi ni kwamba ktk baadhi ya nchi wanaangalia mda uliofanya masters na nini ulikifanya huko na mwendelezo wake hivyo unakuwa na possibility ya kufanya Ph.D ndani ya miaka miwili.

Kuendelea ku argue kwa vitu obvious, is quite Protestant

Unachosema mkamap ni kweli kabisa kuna mifano mingi sana ya vyuo hivyo mimi mwenyewe ni mfano wake and i did it in Kenya bado naendelea na mchaka mchaka
 
..mpaka sasa sina uhakika kama Matayo ana PhD au la.

..mpaka sasa hivi sina uhakika ni muda gani mwanafunzi anapaswa kusoma kumaliza PhD.

..mjadala huu haujanisaidia ktk maswali hayo mawili hapo juu.

Chombo chenye mamlaka ya kudhibitisha ni TCU na imeshafanya hivyo kwa tanzania kama una maswali zaidi unaweza kupeleka TCU wanaweza kutoa ufafanuzi zaidi .

Inategemeana na nchi na kile unachofanyia plus uzoefu wako katika kile unachofanyia tazama hivi kwanza

Nadhani nimekuongezea changamoto zingine watu msiwe wabinafsi jamani hizo oppotunity nchini mwenu hazitoki wanaenda kutafuta sehemu zingine
 
Unachosema mkamap ni kweli kabisa kuna mifano mingi sana ya vyuo hivyo mimi mwenyewe ni mfano wake and i did it in Kenya bado naendelea na mchaka mchaka

Hawa jamaa hawataki kuukubali ukweli, mie pia nimefanya kwa kuunganisha bachala hadi masta kwa mda wa miaka 6.Hiyo non stop

Sasa wanataka nikiwa ofisa wa TCU niwatilie ngumu watu wa uingereza kwa kuspendi miaka 4 kuchukua masta ama wengine miaka 6 kuchukuwa Ph.D
teh teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom