Mkamap swali la Shy ni zuri na gumu sana, what is PhD??
Ku-add knowledge in the body of knowledge/literature n.k, kwa kifupi ni kuandika au kufanya kitu/kazi ambacho kita-add human value, na ambacho hakipo kabisa au hakijulikani katika dunia yetu hii au mahali ulipo!. In short theory mpya kabisa.
Kuna jamaa alichukua PhD kwa kuangalia mpira unavyokua uingereza kutoka miaka ya 80 mpaka sasa, akaweka theory zake kwa nini unakua na sababu na vithibitisho, tayari hiyo PhD!!
PhD kwa kifupi ni research, you must do thesis (is purely reserach based) lazima ujue wenzako wamefanya nini kwanza kabla ya wewe kuendelea na thesis yako, from that you get platform au energy ya kuanza kufanya tusichokijua, ukifikia level hii ndio unaitwa ''teacher of philosophy''
Howver kuna uwezakano pia wa kupata PhD bila kuandika biblia, ila unaruhusiwa kuandika papers kama nane hivi UDSM wanataka kuadopt hii sijajua wameshachakatua mpaka wapi!
In short is tell people something they dont know about, with solid and undisputable grounds.
Muda!
Kipi kinakusukuma kufanya research? umeamua mwenyewe, ulikuwa na idea ya hicho kitu au imetokea zari tu kama wengi wetu tunavyofanya, umeona scholarship mtu anataka ukafanye PhD ya ''Finite element in Aerospace'' unaenda. you will certainly start from A, na lazima itakuchukua miaka mingi simply kwa sababu kitu hicho haukua na idea nacho wala haukukiwazia before umekifanya kwa sababu tu umepata scholarship, this is crisis ni our country and other third world countries as a whole. nchi kama za Canada watoto wao hawataki tena engineering, so wanaita watu wawafanyie zile research.
Mchezo huu ume-create non-creative scientist kwani research nyingi watu wanazoenda kufanya nje ya nchi is not relevant or reflect the current situation ya nchi yetu, ndiyo maana utaona vyuo vingi Tz lecturers wana devote the rest of their life kufanya vitu ambavyo haviendani na walichosomea PhD!!.
PhD ni utashi wa mtu, kama hauna force inayokusukuma, wengi nje wanafanya PhD kuonyesha umwamba wao wa ku-innovate na sio kwa sababu wanashida YA ya pesa au wakimaliza wapandishiwe mshahara.
So leo Mkamap kama uko kazini, au kama hivyo una masters na unaona una kakitu unataka kuieleza dunia, andika proposal, pata fund, fanya reserach ikikubalika ulichofanya kina input katika dunia hii unapata PhD yako haijalishi unachukua muda gani.
Kuna watu wana experience ya kazi miaka 20, 30,35, na anaona kuna kitu unusual ambacho hakiko kwenye literature , akifanya research na kudevelop theory what is happening, ndiyo tayari PhD hiyo, haijalishi umechukua miaka mingapi!!
Sisi Tz tulizozoea ndio hizi; wachina na warsui wametoa msaada basi tunazikimbilia, mkuu utakesha na hizo PhD na ndiyo ukichukua muda mfupi kila mtu anashtuka!
Kuna cases pia watu wengi kupata PhD bila kuwa na masters degree kwa sababu ya walichokifanya kiko extra ordinary na hakipo kabisa kwingineko!
Ndio maana utakuta kozi mpaya katika society zinapata PhD holder wengi kwa sababu kuna research na topic nyingi
Miaka ya karibuni dunia imeshuhudia watu wakipata doctorate nyingi za Environment, kwenye issue za global warming, greenhouse,, air quality n.k,
kwenye Structurall Engineering, tumepata PhD holder wengi kwenye Health Monitoring of structures
Kwenye economics hivi sasa watatokea wengi tu baada ya hii crisis!
Kwa sababu hizi areas ni mpya data zake zipo za kutosha, vitu ni vipya basi likely watu wakapata PhD kwa muda mfupi sana.
So in short PhD is 'personal', unataka ufanye nini na sio mlolongo wa 'lazima' kama first degree! unlike us PhD tunaifanya kama elimu ya ''kidato cha sita'' uende ukomae ukimaliza unaficha thesis kabatini inaliwa na panya!!!
My professor who is supervising me Professor Peter Kaiser is considered number one in the issues of undeground control ''Rock Mechanics'' (Tunnels and mining carven, nuclear repository n.k) kamaliza PhD mwaka 79, kafanya masters ya Tunnel, he is expert. wanafunzi wake wanaochukua PhD au masters in the same topics za tunnels wanafanya vizuri kwa sababu anajua exactly kitu gani hakijafanyika bado duniani. Nimekueleza hivi ujue kuwa supevisor naye ana mchango mkubwa sana kukuwezesha kumaliza PhD kwa muda mfupi (kama ni expert) au muda mrefu ( kama ni mtaalamu tu)
kuna cases pia kwa sababu PhD ni ''personal '' supervisor wako asijue unafanya nini yeye anakuwepo kuku-guide tu!!! utakula miaka mpaka mvi zikuote
nimejaribu kwa kadiri ya ufahamu wangu
To simplify ulichandika kwa wale wasio na ufahamu wa kutosha,
Undergraduate(prof knows all)
teacher/professor ask questions and knows the answers.
Masters.(Student asks all)
Student asks questions and professor knows the answer.
PhD,(student has to know all)
Student asks questions and he has to provide the answers,Sometimes even a professor has no answers,and has no questions.
ukiangalia huo mfumo hapo juu,it is extremely irrelevant to put lower time limit into a PhD,especially engineering one,
Hawa jamaa hawataki kuukubali ukweli, mie pia nimefanya kwa kuunganisha bachala hadi masta kwa mda wa miaka 6.Hiyo non stop
Sasa wanataka nikiwa ofisa wa TCU niwatilie ngumu watu wa uingereza kwa kuspendi miaka 4 kuchukua masta ama wengine miaka 6 kuchukuwa Ph.D
teh teh teh teh teh
To simplify ulichandika kwa wale wasio na ufahamu wa kutosha,
Undergraduate(prof knows all)
teacher/professor ask questions and knows the answers.
Masters.(Student asks all)
Student asks questions and professor knows the answer.
PhD,(student has to know all)
Student asks questions and he has to provide the answers,Sometimes even a professor has no answers,and has no questions.
ukiangalia huo mfumo hapo juu,it is extremely irrelevant to put lower time limit into a PhD,especially engineering one,
Sikubaliani na wewe
Labda huo mfumo uko Afrika na Asia ama nisema baadhi ya nchi.
Kwenye chuo changu undergraduate anauliza swali na profesa hajui jibu ,mnaakaa chini na kujadili na prof.
Profesa wengi uelewa wao ni very high sharp narrow band na undergraduate ni low broadband.
Kwa hiyo nafikiri theory yako hai- apply kila nchi.
Asante mkuu, niliwasilina na professors Tokyo (zote mbili) naona wana kiburi sana, hela yangu kiburi wafanye wao, kwanza niwasiliane na Kyoto, sina hakika na Osaka maana website yao kuna maandishi yanatia kuzunguzungu!
exceptions apply everywhere..,what i said applies to majority of education institutions.
nitarudia upya
Undergraduate:
students are taught principles by their lecturers,most are usually new to students,hence the phrase teacher knows all,same applies to exams and homework etc, >90% of answers are know by the teacher/prof.kama kuna mwanafunzi anajua kuliko prof then he can safely assume the teaching position.kama unabisha hewala.
Masters
Most of the content a prof provides to the students are a result of questions raised in a student's work,hence the phrase prof knows answers,this does not stop having a student who has answers that a prof would not have,but again i said am writting for 90% of the situations.
PhD.
Here a student controls his/her own fate from subject formulation,research methods to thesis doing,hence a supervisor term applies to a prof assisting a student,a student will ilkely have enough basic knowledge to common questions and answers,(same as the prof),BUT it is a student's task to provide important questions to deepen his/her research,and be able to work around those questions/problems.
regarding Kimweri universal standard that is just you portraying me(it tells me more about how you think of me as a cyber-character than what i actually am).
kama ulivyosema,it is a forum,we can voice our opinions as high as we can,regardless of what others are saying-i love the freedom of speech thing.
Hongera sana pia wajue wale wanaojilipia wenyewe vyuo binafsi pia masuala ni tofauti sana na hawa wengine mimi najilipia mwenyewe nimeunganisha kote huko nina experiance ya kazi ya miaka 3 ( bila kuwemo chuoni ) ingawa nilianza kufanya kazi huku nasoma kwahiyo utaona vitu hivi huko mbele vinakusaidia sana
exceptions apply everywhere..,what i said applies to majority of education institutions.
nitarudia upya
Undergraduate:
students are taught principles by their lecturers,most are usually new to students,hence the phrase teacher knows all,same applies to exams and homework etc, >90% of answers are know by the teacher/prof.kama kuna mwanafunzi anajua kuliko prof then he can safely assume the teaching position.kama unabisha hewala.
Masters
Most of the content a prof provides to the students are a result of questions raised in a student's work,hence the phrase prof knows answers,this does not stop having a student who has answers that a prof would not have,but again i said am writting for 90% of the situations.
PhD.
Here a student controls his/her own fate from subject formulation,research methods to thesis doing,hence a supervisor term applies to a prof assisting a student,a student will ilkely have enough basic knowledge to common questions and answers,(same as the prof),BUT it is a student's task to provide important questions to deepen his/her research,and be able to work around those questions/problems.
.
Nashukuru kwa ufafanuzi, umeeleza vyema kuhusu PhD. Undegraduate and Masters bado ina maswali na maelezo mengi, lakini kwa sababu umeweka percentage (90%) for any other thing haina tatizo pia.
Ila level ya university haiitwi -teaching, bali instructing, na masomo yanayokuwa instructed wanaita courses (kwenye core of your degree) na sio subjects.You can be taught only one course and spend the rest of your life working with that one course;
Pia kuna theories kwa U/G kuwa instructors ana provide only 20% na the rest mwanafunzi anamalizia. Bachelors can be earned by anyone, unaweza kuwa na degree nyingine tayari, umetoka kazini, una experience ya kazi,technical schools, mtu mzima, kijana (any).Kuna mwanafunzi ana experience ya kufanya kazi mgodini(undeground) kwa miaka 20 , na instructirs wake ana experience ya kazi miaka 2! ila theoretically lecturer anajua zaidi kuliko mwanafunzi, practicaly mwanafunzi anajua zaidi kuliko mwalimu! Na kuna cases baadhi ya professors anaweza kusoma bachelor tena! Tuna mfano Tz wa former VC Luhanga kwenda kuipiga degree ya sheria, bahati mbaya walimkamata on the way up! Kuna cases pia ya wanafunzi kubishana na instructors wao, na baadae wanafunzi wakaonekana wako sahihi!
University is different kabisa ndiyo maana akina Newton waligundua ma-binomial theorem n.k even before graduating in their first degree!
I agree with u that now a days U/G inakuwa kama A-level, it is wrong though it is being practises in many places.
Free thinking imepotea katika vyuo vingi
Nimekubaliana na wewe kote lakini hapo kwenye nyeusi sikubaliani na wewe.
Sema inaweza kuwa sahihi kwa ma lecturer sisi wafrika, maana ukishakuwa lecturer Dr hutaki kuji update zaidi, sasa ktk hilo unakuwa unawalimiti wanafunzi wako kuandika yaliyomo ktk desa lako tu ulilotoa.
Nimesikia ktk baadhi ya maprof wetu kwamba ukiandika nje ya alichofundisha inakuwa tatizo.
Sawa kabisa ndio hao wanaokifanya kisomo cha university kuwa kama A-level. umetoka nje ya desa lake, subiri supplimentary!
hakuna chuki wala kshfa inayomwandama Msuya.
Mathayo anajulikana na watu wote kuwa ni mtoto wa Msuya wa nje ya ndoa.au unaweza kusema kuwa MTOTO WA MSUYA WA HARAMU. na kwanini yeye hivi sasa abadili majina ghafla? hakuna anayelazimisha ukweli ni mtoto wa Msuya kama unabisha wapimwe DNA.
You mean a Bastard?? confirm this, please!