Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 3,359
- 2,965
Si ndiye huyu majuzi wapiga kura wake walimkataa mbele ya Makonda
🤝🏽
Si ndiye huyu majuzi wapiga kura wake walimkataa mbele ya Makonda
Ndiye huyo tapeli
KISANGANI, 🇨🇩😁Ndiye huyo tapeli
We unaangalia kibunda tu na sifa zingine?Ana hela?
Wewe Una elimu gani ya kuhoji PhD japo ya Mifugo?Huyu inafahamika kuwa ni daktari wa mifugo ambaye aliisomea fani hiyo pale SUA miaka ya 1990s na ushee Huo udaktari wa falsafa (PhD) alitunukiwa ama kuusomea lini na wapi!? Nahitaji kuelimishwa tafadhari.