Dr Mathayo David Mathayo "Mwananwa Kaya" mitano tena!

Dr Mathayo David Mathayo "Mwananwa Kaya" mitano tena!

Pikipiki moja 1,500,000/- × pikipiki 3000 = 4.5B TSH,

Kwa mapato yepi ya ubunge mtu agharamie 4.5B, kama sio kuleta wezi na majambazi ofisini?
 
Kama unamlenga Angela,hauko vizuri katika upataji wa taarifa, Leonard Elirehema Singo,ndiyo kajiandaa na kaandaliwa.
Singo endelea kutumikia chama makao makuu hapo. Wewe ni kijana shupavu na smart ila 2025 hilo jimbo Mbunge atakayetokana na CCM ni mwanamke na si Angela. Angela mlimpa somo gumu sana,ajaye amejifunza na ya 2020 na atafanya vizuri both kura za maoni na sandukuni.
 
Perege hiyo kwio. Mwana WA Kaya forever!
Mwambieni Mathayo ajizatiti tu kwenye Biashara yake hapo Victoria.Na kwenye Biashara pia awe makini Mama Wakichaga anaweza mpiga Daflau akaanza kutafuta ajira za Kilimo.Kuhusu Ubunge asahau,hii ya juzi 2020 yenyewe ni upepo wa Magufuli ulimbeba.

JamiiForums mobile app
 
Pikipiki moja 1,500,000/- × pikipiki 3000 = 4.5B TSH,

Kwa mapato yepi ya ubunge mtu agharamie 4.5B, kama sio kuleta wezi na majambazi ofisini?
2020 alitoa ambulance kadhaa.
 
Huyu Mbunge nakumbuka nikiwa mwanafunzi wa Joyland girls alikuja uwanjani tulipokuwa tunacheza akatupa zawadi ya mpira wa miguu.
 
Kule same mashariki ,Bado vijiji vingi havina umeme ,mbunge hatumsikii kabsa
 
Awape hizo pikipiki zikawavunje miguu .hapa ndio akili zetu zimefika mwisho
 
Tunaenda na Leonard Elirehema Singo.
 
Back
Top Bottom