Dr Mathayo David Mathayo "Mwananwa Kaya" mitano tena!

Dr Mathayo David Mathayo "Mwananwa Kaya" mitano tena!

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,196
Msomi (PhD) na Kiongozi mashuhuri dunian na Mbunge wa Same (M) karibu tena jimboni uhudumie wananchi kipindi cha 2025-2030.

NB: safari hii TOA misaada ya pikipiki 3000 (Kwa mchanganuo ufuatao 1500 ukanda wa miliman, 1500 tambarare) kwa vijana badala ya ambulance. Hap bodaboda ndio uzunguke nao kwenye kampeni mwanzo-mwisho.
 

Attachments

  • images (26).jpeg
    images (26).jpeg
    60.1 KB · Views: 20
Round hii wananchi watakua serious awe na uwezo wa kujenga hoja na kusemea wananchi sio kama wale wapuuzi wapiga makofi wa Lumumba
 
Msomi na Kiongozi mashuhuri dunian na Mbunge wa Same (M) karibu tena jimboni uhudumie wananchi kipindi cha 2025-2030.

NB: safari hii TOA misaada ya pikipiki Kwa vijana badala ya ambulance.
😂😂😂
 
Msomi (PhD) na Kiongozi mashuhuri dunian na Mbunge wa Same (M) karibu tena jimboni uhudumie wananchi kipindi cha 2025-2030.

NB: safari hii TOA misaada ya pikipiki 3000 (Kwa mchanganuo ufuatao 1500 ukanda wa miliman, 1500 tambarare) kwa vijana badala ya ambulance. Hap bodaboda ndio uzunguke nao kwenye kampeni mwanzo-mwisho.
Ok
 
YAANI DK ANAKATWAA KWENYE KAMATI YETU TUKUFU HUKO CHINI MWACHENI AGAWE VINAVYOGAIWA. NA NYIEE KULENI MSIVIACHE NARUDIA KULENI IWEPIKPKK HELA HUYU TUNAMSUBIRIA HUKU JUU
 
Mathayo David Mathayo ni Phd? Au veterinary doctor? Kilichokutisha ni initial ya Dr. Mpaka kumpa PhD?

Kama ni Phd leta ushahidi hapa kabla cjaleta ushahidi wa kukuonyesha uko wrong
 
Mathayo David Mathayo ni Phd? Au veterinary doctor? Kilichokutisha ni initial ya Dr. Mpaka kumpa PhD?

Kama ni Phd leta ushahidi hapa kabla cjaleta ushahidi wa kukuonyesha uko wrong
Ngombaru mwenzangu makasiriko ya nn!?
 
Back
Top Bottom