ha ha ha ha! umenichekesha sana na wewe ni msaidizi wake nini? maana ulivyokimbia naye da poleni sana
mlikua mnakimbia riadha.
manyaunyau anatisha. pale mwananyamala alifukuza mchawi mchana kutoka pale kwa bi zakalia ndani kwa ndani hadi kwa mtogole watu kibao wanamfuata akanyosha hadi manzese huku ameshikilia paka mdomoni na vijana wake wakipiga ngoma, akanyonya hadi mabibo ndani kwa ndani hiyo mi nikaunga tela, tukaibukia external tukapita makuburi tukatelemka tukapanda tukaibukia kimanga, akadaka paka mwingine kanyonya damu, tukaenda hadi tabata visiwani hadi tabata bima hiyo ishafika saa 12 jioni....
mama na baba yake wote ni marehemukwenye CV yake aliwahi kumfufua nani?
hapana, tulikuwa tunatembea mwendo wa haraka. tulikamata chuma ulete wanne humo njiani wakaunganishwa kwenye msafara. sijui waliishia wapi. hata hiyo ya Kanumba nikisia anapo anzia lazima niunge tela nione anavyo umbuka au umbua watu. hehee...mnitaarifu mkisikia.
kwenye CV yake aliwahi kumfufua nani?
hapana, tulikuwa tunatembea mwendo wa haraka. tulikamata chuma ulete wanne humo njiani wakaunganishwa kwenye msafara. sijui waliishia wapi. hata hiyo ya Kanumba nikisia anapo anzia lazima niunge tela nione anavyo umbuka au umbua watu. hehee...mnitaarifu mkisikia.
Mlijuaje kuwa wale ni chuma ulete?
Sasa mkuu hukuchukua hata picha tuone Nyau wa mtaani wanavyopungua statistically. na hilo kundi lote lilikuwa linauga tu, na shugukli walizoacha nazo ni vipi? Maana wabongo ni kama hatujambo kwa hilo. sawasawa na mdundiko ukipita, kila mtoto huyooo.
ONYO: If you like your cat, don't let him near daktari 'catcat'