Hahaha
Halafu nashangaaga sana unakuta mtu ana familia kabisa na watoto...kabisa imeshaonekana wazi kua TZ under "sisi m" hamna future....Narudia tena...chini ya hiki chama..hii nchi mbele ni giza ... ila unakuta anaipigia debe "sisi m".
kwa miaka hii...walio salama angalau..ni
1) watanzania waishio nje ya nchi na ambao hawana mpango wa kurudi
2) watanzania (kama mimi) ambao hatuna familia wala watoto , sina wasiwasi wa kizazi changu kuangamia wala kupata shida...cause, its simple...sina mtoto.
Sasa wewe mwenzangu ambae una watoto..tena wengine wako nursery /primary...afu unaipigia debe "sisi m" unahitaji kupimwa akili.
kwa hali ya saivi ni kua hatuna tena rasilimali...zimeibwaaaa...zoteee...mfano..juzi mmeskia meno ya tembo yamekatwa uwanja wa taifa kwa wenzetu huko ...walioko serious, ila yalipita uwanja wetu bila kushikwa.
Tanzania ipo kwenye list ya nchi zinazoongoza kwa madeni..,,
ni nchi ya 90 duniani kwa madeni https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_countries_by_external_debt )
na ipo kwenye Heavily indebted poor countries (
https://en.wikipedia.org/wiki/Heavily_indebted_poor_countries )
TAFAKARI....CHUKUA HATUA.
USHAURI: kwa wewe mwenzangu ambae huna mtoto, nakushauri kabisa ...nimefatilia mustakabali wa hii
nchi...Madeni,wizi wa mali za umma etc...nakushauri bila kupepesa macho. "sisi m" ikishinda oct. usizae , kama utapenda kutomuona mwanao akiteseka
kwa wale ambao wana watoto wadogo...anza kumwandalia mwanao ajira...mfungulie biashara...mapema..kwasababu...takwimu zinaonesha
Unemployment rate inaongezeka TZ, miaka 3 ijayo... hakuta kua na sjui mtoto wa mwenye hela au mtoto wa maskini.
kwa anaetaka ushauri zaidi .....anicheki PM, kwa wale wataobisha...nawashauri kitu kimoja.... SOMENI , SIKU HIZI KILA KITU KIPO ,VITABU ..MITANDAO.. TAKWIMU ZOTE ZINAEKWA ONLINE.