Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

Mara nyingi ukipata ugonjwa wa akili,,,kilaza utamuona genius na genius anakuwa kilaza...pole utapona tu na utajua hilo tingatinga ni jina tu

Siku zote kichaa huwaona wenzie ndio vichaa
 
Ah wapi tulimpa uwaziri mkuu akapiga dili na fisadi papa wakatuletea richmond, tunampata mwenye maisha kama yakwetu.

Mwl nyerere hakiwa tajiri wala fisadi na watanzania tulimkubali

Lia na mamlaka ya juu wewe wacha sisi twende na LE....
 
Magufuli ndiye anayefaa kuwa rais wa tanzania katika awamu ya 5. Kwanza kabisa magufuli ni genius sio kilaza kama mgombea wa ukawa.

Tanzania ya leo tunahitaji rais asiye msanii wala kilaza kama mgombea wa Ukawa.
Magufuli ni tingatinga na mzalendo ambaye hajazunguukwa na madisadi.

Vile vile magufuli hajachanguwa pesa na wala hana rafiki ambaye anashutuma za ufisadi tofauti na mgombea kilaza ambaye yupo beneti na mafisadi papa na fisadi nyangumi.

Mwisho kabisa jamani tuwe wakweli magufuli kasimamia ujenzi wa miundo mbinu ikiwemo lami leo kila mtu ananufauka nayo tofauti na msanii kapewa uwaziri mkubwa kapiga dili wtz hawataki hata kumsikia leo hii.

hujielewi...ngoja mvua ije ikunyeshee october 25,,then ujue kilaza ni yupi na kipanga ni yupi!by the way ww unashabikia mfumo wa wezi na akili yako imekaa kiwiziwizi asee
 
Magufuli ndiye anayefaa kuwa rais wa tanzania katika awamu ya 5. Kwanza kabisa magufuli ni genius sio kilaza kama mgombea wa ukawa.

Tanzania ya leo tunahitaji rais asiye msanii wala kilaza kama mgombea wa Ukawa.
Magufuli ni tingatinga na mzalendo ambaye hajazunguukwa na madisadi.

Vile vile magufuli hajachanguwa pesa na wala hana rafiki ambaye anashutuma za ufisadi tofauti na mgombea kilaza ambaye yupo beneti na mafisadi papa na fisadi nyangumi.

Mwisho kabisa jamani tuwe wakweli magufuli kasimamia ujenzi wa miundo mbinu ikiwemo lami leo kila mtu ananufauka nayo tofauti na msanii kapewa uwaziri mkubwa kapiga dili wtz hawataki hata kumsikia leo hii.

#tukutaneoctober .
 
Magufuli ndiye anayefaa kuwa rais wa tanzania katika awamu ya 5. Kwanza kabisa magufuli ni genius sio kilaza kama mgombea wa ukawa.

Tanzania ya leo tunahitaji rais asiye msanii wala kilaza kama mgombea wa Ukawa.
Magufuli ni tingatinga na mzalendo ambaye hajazunguukwa na madisadi.

Vile vile magufuli hajachanguwa pesa na wala hana rafiki ambaye anashutuma za ufisadi tofauti na mgombea kilaza ambaye yupo beneti na mafisadi papa na fisadi nyangumi.

Mwisho kabisa jamani tuwe wakweli magufuli kasimamia ujenzi wa miundo mbinu ikiwemo lami leo kila mtu ananufauka nayo tofauti na msanii kapewa uwaziri mkubwa kapiga dili wtz hawataki hata kumsikia leo hii.

Huna adabu gamba ww mwaka huu mnalo na limeng'ang'ania kwel kwel hamchomoi haki ya nan nawaambia mnawaza kuiba tuu lazima tuwagegede
 
Swali ni kwamba hao wengine ni akina nani? Na wanatoka wapi? Na Miaka yote walikuwa wapi/ Chama gani hata uamini kwamba wako tofauti?
Ukibishana na majibwa ya Mbowe, utachoka bure. Kumbuka yote ni ma jobless yamo humu kutunga na kuandika na kwa ufinyu wao wa akili wanadhani uwepo wao humu kwa kukosa kazi ndio uwingi wa wapiga kura.
Watu wenye akili zao hawashindi jf kujazana upuuzi, wako makazini. October wataisoma namba, hata vocha za kuingia humu watakosa hawa wanywa viroba
 
Cdm huwa inanishangaza inakosa mgombea urasi hadi iokoteze makapi ya ccm? Huu ni uzaifu.huwezi kushinda mechi kwa wachezaji wa kukodi.
 
Magufuli nyumba za serikali kawagawia hawara zake bure kabisa bila kulipa hata mia
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Kusoma PHD bila kulala inategemea na uwezo wako wa akili. Ila huyu ameweza kukuonyesha sio lazima uache kazi zako ndio upate PHD.
Ndio maana mwandishi amesema huyu jamaa ni genius ni tofauti na wewe ni mtu wa kawaida ambaye inabidi upige msuli ili uelimike
 
Huu ndiyo ukweri halisi magufuri ndiyo kiongozi mwenye uwezo wa kuivusha tanzania

Una akili zenye kutu wewe tena magufuli ataharibu kuliko hata kikwete co inavyoelekea hana maamuzi na amepata chaka kwa kustukiziwa kila kitu nasuburi ilani, kwa sasa sina maamuzi hayo, ndo nini hakuna kinachoweza kubadilika kama chama chenye mizizi ya kifisadi wizi, rushwa na mazoea ya kutawala kitabaki madarakani. Yani kuna miwatu sijui ikoje kura za maoni rushwa tupu still mtu anaona yuko kwenye chama. Jatambueni kabla hamjachelewa. Hakuna duka la ccm wala chadema tutaendelea kuumia tu na kuangalia nchi za watu zikiendelea. bila kuitoa sisiemu na kuondoa mambo matatu utawala wa mazoea, rushwa na ufisadi hakuna maendeleo
 
Episode namba 2 ,,,,,

Iko kwenye mchakato!!!
 
I didn't mean that, What I tried to say here is
It is very difficult to handle the two things in parallel!
PhD in science area is time consuming and it needs concentration.
It is not possible to study at the same time you are a minister.
Does it mean Magufuli was doing his experiments in lab and everything concerning his PhD at the same time working as a minister? This is not that possible we have to be realistic.


kuandika kiingereza sikuonyesha wewe ni phd material...naona huna hata masters...na kama unayo itakuwa ya hivi vyuo vyetu vya sasa..Poor you!!
 
apeleke ugeneous wake ukooooo urais anapwayaaaaaa saana
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Regina,huwa hatulinganishi uwezo wa panzi na ndege kuruka. Pengine uwezo wako wa kimbulula yaani mgumu kuelewa na mwepesi kusahau ndo ulivyo sasa usilinganishe na uwezo mkuawa wa Magufuli. Andiko lako tu hli la uchangiaji linaonesha umbulula wako na alokupa hiyo PhD kakosea kweli kama kweli umeipata.
 
kuandika kiingereza sikuonyesha wewe ni phd material...naona huna hata masters...na kama unayo itakuwa ya hivi vyuo vyetu vya sasa..Poor you!!

Wewe ndiyo uliyesoma elimu uchwara! Mtoa hoja anajaribu kuchora picha halisi ya mchakato wa kupata PhD ulivyo mgumu! Huyu alihitaji kupata muda mrefu wakufanya kazi ya kuchambua samples zake kwenye mahabara. Angalizo ni je aliupataje muda huu Kama Waziri?

??????????
 
Back
Top Bottom