Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

episode 1

dr john pombe maghufuli, mgombea urais kupitia ccm ni mgombea mwenye haiba ya kipekee kati ya wagombea wote katika uchaguzi mkuu wa 2015, uwezo wake wa kiuongozi umeanza muda mrefu kwa kujipambanua kila wizara anayopewa kuiongoza tangu aingie kwenye siasa 1995
ni mwanasayansi nguli aliyeleta mapinduzi ya kujenga barabara toka tupate uhuru

ni mwanasiasa alieingia kwenye rekodi ya ccm kwa kushinda kura nyingi kwenye mkutano mkuu,

ni mwanasiasa mwenye akili nyingi za kuzaliwa (genius) , hii limethibitishwa pia na kipindi maalum cha historia yake kilichorushwa na itv siku ya jumatano saa 3:15 usiku

ni mzalendo wa kweli asiyetiliwa shaka na uadilifu wake ni grade a

ni kiongozi mwenye kuthubutu na kusimamia anachokiamini, na ni kiongozi mwenye muono wa mbali

ni kiongozi atakaeingia kwenye historia ya kuitoa tanzania kutoka nchi ya kundi maskini kwenda uchumi wa kati na kuingia katika nchi tajiri afrika


ni kiongoz anaependwa kukumbukwa kwa mazuri aliyofanya na atafanya hivyo

ni kipenzi cha watanzania wengi na kawekeza kwenye mioyo ya watanzania kumkubali sana katika uchapakazi wake


wapinzani wake kwa ujumla

ni watu wababaishaji na wasio na ueledi na uelewa wa mambo
ni watu wenye fani za sanaa na maonyesho kiufupi mazingaombwe

ni watu wasio na dira wala dhamira bali tamaa na ufisadi uliotukuka

ni watu wasiojua tanzania inataka nini ila wanaangalia wao wanataka nini

ni vilaza kimawazo na kimtazamo kwani hawawez kusimamia jambo kwa muda mrefu bali tamaa ya pesa

ni watu wasiokuwa na uwezo wa kusoma alama za nyakati bali alama za kununuliwa


asanteni ,,,,,itaendelea episode 2

kweli mkuu kwa mfano el yeye hana uzalendo bali punda afe mzigo ufike walieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeetuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Magufuli kichwani Yuko vizuri Sana.penye ukweli tukubali tu
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Utakuwa una bachelor kutoka bavicha university. Phd holder hawezi kuongea upuuzi kama huu.
 
kusoma ni uwezo wa mtu na ndiyo maana kuna wanoweza kuwa wazuri katika eneo fulani na wengine hawana. Uwezo wa magufuli na wako ni tofauti kukesha unasoma siyo hoja bali uwezo kichwani

Hahahaaaaaaa....

Mkuu siku zingine umpe na maji ya kushushia.....this is too dry ila keshaimeza
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Mkuu wewe umesomea PhD ya nini?
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Mh..! Kuna PhD humu kweli? Hizo nyingine kamba, PhD gani hujui hata kudanganya!! au umesoma Certificate of records pale uhaziri Tabora?
 
Huu ndiyo ukweri halisi magufuri ndiyo kiongozi mwenye uwezo wa kuivusha tanzania

Hivi wengine mlisomea wapi kama hata kuandika lugha yenu hamuwezi??!
Huu ndiyo ukweri =Huu ndio ukweli
 
Kinachonikuna kuliko vyote ni kuwa Lowasa kwa miaka miwili aliyokuwa waziri mkuu alianzisha shule za sekondari kila kata! Hiyo ni track record ya hali ya juu sana. Usimamizi wake wa mambo, uthubutu wake ambao anauita maamuzi magumu ni wa hali ya juu, Ukilinganisha record ya EL na Pombe Mag. ni sawasawa kulinganisha mlima na kichuguu. El ndiye hasa wa kutupeleka kule tunapotaka.
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!


Hii ndio hupambanua Genius people na sisi wengineo!
 
Huo upumbavu ni upi mkuu?
hoja inajibiwa kwa,sio kuponda bilar sababu,

Hao jamaa wako EXPLOSIVE sana, alafu wanataka kwenda Ikulu.Magu ni level nyingne.Tunahtaji akili yake baada ya mafisadi kumzunguka Dr.
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Inawezekana ulikuwa unasoma kwa kujionyesha
 
Na pamoja na kukesha akisoma angalia alikuwa anaambulia 2.5 GPA.maskini BAVICHA!!!!!
 
Majibu yako hayashabihiani na holder wa PHD

Acheni ushabiki wa kimburula,nijuavyo mojawapo ya sifa za mtu anaepata Phd ni lazima ajue kufanya utafiti kwanza,sasa najiuliza Phd gani unanunua meli ya dar Bagamoyo yenye kutembea kama kinyonga,gharama ya mafuta kubwa kuliko mapato ya nauli,hata darasa la saba hawezi kufanya ujinga huo.Lakini tunajua ten persent hizo.Mtambo wa kukatisha tiketi kigamboni uko wapi?wizi mtupu,samaki wa Magufuli wamegharimu pesa za kodi zetu kibao mwisho wa siku serikali imeshindwa ikwalipa fidia kibao,Mimi nadhani Phd ya Magufuli haina tofauti na Phd za mkuu wa kaya.Hapo waziri,akiwa Rais itakuwaje?Tena hayo nilosema ni kwa uchache tu.UKAWA ndio habari ya mujini.
 
Episode 1

Dr John Pombe Maghufuli, mgombea urais kupitia CCM ni mgombea mwenye haiba ya kipekee kati ya wagombea wote katika uchaguzi mkuu Wa 2015, uwezo wake Wa kiuongozi umeanza muda mrefu kwa kujipambanua kila wizara anayopewa kuiongoza tangu aingie kwenye siasa 1995
Ni mwanasayansi nguli aliyeleta mapinduzi ya kujenga barabara toka tupate uhuru

Ni mwanasiasa alieingia kwenye rekodi ya CCM kwa kushinda kura nyingi kwenye Mkutano Mkuu,

Ni mwanasiasa mwenye Akili nyingi za kuzaliwa (genius) , hii limethibitishwa pia na kipindi maalum cha historia yake kilichorushwa na ITV siku ya jumatano saa 3:15 Usiku

Ni mzalendo Wa kweli asiyetiliwa shaka na uadilifu wake ni grade A

Ni kiongozi mwenye kuthubutu na kusimamia anachokiamini, na ni kiongozi mwenye muono Wa mbali

Ni kiongozi atakaeingia kwenye historia ya kuitoa Tanzania kutoka nchi ya kundi maskini kwenda uchumi Wa kati na kuingia katika nchi tajiri Afrika


Ni kiongoz anaependwa kukumbukwa kwa mazuri aliyofanya na atafanya hivyo

Ni kipenzi cha Watanzania wengi na kawekeza kwenye mioyo ya watanzania kumkubali sana katika uchapakazi wake


WAPINZANI WAKE KWA UJUMLA

Ni watu wababaishaji na wasio na ueledi na uelewa Wa mambo
Ni watu wenye fani za sanaa na maonyesho kiufupi mazingaombwe

Ni watu wasio na dira wala dhamira Bali tamaa na ufisadi uliotukuka

Ni watu wasiojua Tanzania inataka nini ila wanaangalia wao wanataka nini

Ni vilaza kimawazo na kimtazamo kwani hawawez kusimamia jambo kwa muda mrefu Bali tamaa ya pesa

Ni watu wasiokuwa na uwezo Wa kusoma alama za nyakati Bali alama za kununuliwa


Asanteni ,,,,,itaendelea episode 2

Yaani wewe na familia yako mkimpenda ndiyo "kipenzi cha wananchi wengi"?

Nilidhani porojo za Rais wako(na Mwenyekiti wa CCM Taifa) ametoa nchi kutoka kwenye nchi masikini hasi nchi ya uchumi wa kati kumbe atakuwa "jiniasi"

Kiongozi gani anataka kukumbukwa kwa mabaya? (Aren't you talking the obvious)?

Yaani kama definition ya 'Genius' ni hii, hali bado sana.

Halafu anaitwa Magufuli na si "Maghufuli"
 
Back
Top Bottom