Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

Dr. Magufuli: Genius anayepambania urais

Namkubali sana Mzee Lowassa. Ni mtu wa kazi hasa. Ila nawashangaa pia wanaomdharau Magufuli. Huyo naye ni mashine kubwa sana. Compromise waliyofanya Chadema na Ukawa kiitikadi inaonyesha wanajua hilo.Hapa nadhani sio wote wanaoona hilo kwa sasa.

Mkuu umeandika pointi tupu,nilikuwa sitaki kucommenti ila pionti zako zimenivutia sana Big up yaani umeweka ushabiki kando umeandika ukweli mtupu.
 
Magufuli Genius aliyefeli form six akashindwa kwenda bachelor degree ilibidi akasome diploma kwanza.


Leo huyu Magufuli ndio anajifanya anajua kero za wananchi,akiwa waziri aliwaambia watu wasioweza kulipa nauli mpya ya kivuko basi apige mbizi,Kesho akiwa rais atawakumbuka wanyonge kweli?Hana lolote mnafiki tu
 
I didn't mean that, What I tried to say here is
It is very difficult to handle the two things in parallel!
PhD in science area is time consuming and it needs concentration.
It is not possible to study at the same time you are a minister.
Does it mean Magufuli was doing his experiments in lab and everything concerning his PhD at the same time working as a minister? This is not that possible we have to be realistic.


Secretary of Energy (Waziri wa Nishati wa Marekani), Professor Ernest Moniz ana Ph.D ya Physics, ana nishani ya Nobel katika Physics na alikuwa Professa wa muda mrefu sana wa Phyiscs hapo MIT.
 
I didn't mean that, What I tried to say here is
It is very difficult to handle the two things in parallel!
PhD in science area is time consuming and it needs concentration.
It is not possible to study at the same time you are a minister.
Does it mean Magufuli was doing his experiments in lab and everything concerning his PhD at the same time working as a minister? This is not that possible we have to be realistic.
Mkuu,
Wewe ni Ph.D holder?. Maandiko yako yanatoa maswali mengi?

Kwa mtaji huu ndiyo maana thamani ya elimu nchini inazidi kushuka!
 
Magufuli ni mzuri kwa kazi za site, kubomoa nyumba kutanua barabara. Octoba Tunamwaga Pombe yote na kufuli tunavunja.
 
Point tupu!! Mungu akubariki. Wewe ni miongoni mwa watanzania wengi wanaojitambua. Achana na hao vilaza,wanafikiria matumbo yao tu.

Hv mkuu unajua makomeo phd yake ni ya nn??? Ungekuwa unajua ungekaa tu kimya...
 
Wakiitwa PhD na yeye ataenda
Ivi kuna mtu anasoma PhD teana ya Science alafu ni waziri
embu tuache ushabiki
Nakumbuka nilipokuwa nachukua PhD yangu hata kitanda nakisahau alafu leo hii mtu anakuja
eti kasoma rusting technology tena akiwa waziri it is not that easy!!!

Muda mwingine lazima ujue kuwa watu wana IQ tofauti, uwezo wako wewe usifananishe name uwezo Wa mwengine, katika mambo ya learning kuna abnormalities, and one among them ni state of being fast learner
 
Kuwa kiongozi mkuu wa nchi Rais, kuna hitaji mtu kichwa na Magufuli kwa mujibu wa mwalimu wake wa darasa la kwanza mh ni kichwa sana.

Kwa urais twende na Magufuli, ubunge tupate uwiano wa idadi tusiwe na bunge la kuzomea na kuwa kejeli wanao pigania haki za wananchi kama hili la makinda.
 
haya maneno yenu yote yataisha mwezi wa kumi. ukitaka kuamini hilo, vaa tshirt au gauni la kijani lenye maandishi ya ccm halafu pita kariakoo au mtaani utapata jibu....wenzako wanapovaa hayo manguo ya kijani wanavaa pia helmet kuzuia kurushiwa mawe. watu wameichoka ccm kuliko kitu chochote kile hapa duniani, ndio maana wako tayari kwa lolote hata kupokea watu toka kwenu ili tu kuiondoa ccm. mjiulize, kwanini watu wamewachoka kiasi hiki? mtawadharau watanzania hadi lini?mbona mnawafanya watz wa miaka ile ndio wa miaka hii kana kwamba ni mabulula?

Mtanzania anaye jiunga na UKAWA ambao wamesimamisha makapi ya CCM kugombea Urais ndio kilaza. Kama wewe unaunga mkono UKAWA, basi wewe ndio mbulula kabisa. Lowassa ni makapi ya CCM, sasa si bora CCM yenyewe kuliko makapi yake????
UKAWA wangemsimamisha mtu wao kugombea Urais tungewaelewa, lakini sio kusimamisha makapi ya CCM.
 
I didn't mean that, What I tried to say here is
It is very difficult to handle the two things in parallel!
PhD in science area is time consuming and it needs concentration.
It is not possible to study at the same time you are a minister.
Does it mean Magufuli was doing his experiments in lab and everything concerning his PhD at the same time working as a minister? This is not that possible we have to be realistic.

Inawezekana hujui kuwa Magufuli alianza siasa wakati tayari ni mwanafunzi wa Ph.D in Chemistry hapo UDSM. Vile vile hujui kuwa siasa ilimchelewsha sana kupata hiyo Ph.D kwa vile badala ya kuipata mwaka 1997/98 aliipata baadaye sana takribani miaka saba baadaye. Vile vile hujui kuwa wakati anaingia kwenye siasa, tayari alishamaliza research ila Thesis/Dissertation write up ndiyo iliyomchukua muda mrefu kutokana na majukumu ya kisiasa.

Being difficult does not mean being impossible
 
Ningeshangaa sana usingekuja......
Kama wewe unamshangaa mtu uliyedai ana akili nyeupe kama kamasi basi inabidi wewe ndiye nikushangae kwa kushangaa!

Unachokisema ni sawa na mtu mwenye akili timamu anaanza kumshangaa mtu ambaye anafahamu ni kichaa baada ya kumuona yuko uchi. Watu wenye akili timamu wanaokufahamu una akili timamu watakushangaa badala ya kumshangaa kichaa!
 
Mwanangu BARO umenena CCM wamechagua jembe kubwa Ukawa watakaangwa na mafuta ya petrol maana huyu Bwana Magufuli hana dosari hata moja kama ni rushwa ni huyo waliomchukuwa Ukawa.

Magufuli kama sikosei atapata kura 98% Lowasa atapata kura 1% tena kutoka Arusha tu

Daima mbele nasikia Mzee Slaa na Lipumpa wameomba kurejea CCM sasa sijui kamati ya chama itawapokea au itawatolea nje

Vipi Mnyika ajatangaza msimamo wake au tuke mkao wa kula
 
Back
Top Bottom