Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Mkuu,Usijitie ujuha kiasi hicho cha kujifanya hujui tofauti kubwa iliyopo wakati Mwalimu alipokuwa kiongozi wa Tanzania na hawa wahuni, wezi, wapokea rushwa n.k. Unadhani jina la Baba wa Taifa lilidondoka toka mbinguni? Unadhani kwanini Watanzania walio wengi bado wanampenda sana na kumuenzi pamoja na kuwa aling'atuka miaka 30 iliyopita?
Mimi ninaongelea mfumo wewe unaleta masuala ya kudondoka kutoka mbinguni.
Kwani Mwl. Nyerere alichimbuliwa kutoka ardhini?
Nani amesema Mwl. Nyerere amedondoka kutoka mbinguni?
Kama suala ni utendaji, sasa hizi hoja za mfumo zinatoka wapi wakati mfumo ni ule ule.
Nadhani umedandia hoja bila hata kufahamu msingi wake!