geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
Nikuulize swali, Nyerere mnayemsifia kila siku aliongoza kupitia chama gani?
aliishia kusema Bila CCM Madhubuti Nchi itayumba,hatimaye tingatinga linaingia kurekebisha paliposinyaa.
Endelea kumzoea Magufuli kama Rais wako wa awamu ya tano,hauna namna nyingine.
Huo ndio ukasuku na undorobo. Kiongozi mzuri atatoka ccm kama watakuwepo wasafi. Ni ni kilichomfanya Nyerere huyo huyo aliposema ccm sio baba wala mama yake? Hilo lilikupita au hukulikariri?