Dr. Magufuli amechafuka, hachaguliki

Dr. Magufuli amechafuka, hachaguliki

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Mnazi huzaa nazi;mahindi hayatoi maharage. Halali hutoa halali na haramu huzaa haramu. Batili mwanzo ni hadi mwisho pamoja na matokeo yake. Mchakato wa kumpata Dr. Magufuli,kama mgombea wa CCM,umesemwa na Kingunge kuwa ulikuwa batili. Dr. Magufuli hawezi kuwa halali.

Dr. Magufuli amepatikana katika mchakato batili. Ni kama hakukuwa na chochote Dodoma na hakuchaguliwa yeyote. Batili hubatilisha. Huchafua. Dr. Magufuli hawezi kubaki salama. Amechafuka na hachaguliki. Ni batili toka kwenye ubatili. Watanzania wawe macho.

Dr. Magufuli amepatikana kwa kukiuka kanuni. Yeye atazifuata? Amechaguliwa palipovunjwa sheria na taratibu. Yeye atazilinda za kinchi. Dr. Magufuli,tukimuamini Kingunge,amechafuka hasa. Hachaguliki!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Mimi nilidhani Magufuli anachagulika lakini kwa sasa unasema hachaguliki!

Kwa hiyo wewe unadhani nani anachagulika?

Kuniambia fulani hachaguliki bila kunipa alternative ni sawa sawa na kutoa ushauri wa kijinga!
 
Mnazi huzaa nazi;mahindi hayatoi maharage. Halali hutoa halali na haramu huzaa haramu. Batili mwanzo ni hadi mwisho pamoja na matokeo yake. Mchakato wa kumpata Dr. Magufuli,kama mgombea wa CCM,umesemwa na Kingunge kuwa ulikuwa batili. Dr. Magufuli hawezi kuwa halali.

Dr. Magufuli amepatikana katika mchakato batili. Ni kama hakukuwa na chochote Dodoma na hakuchaguliwa yeyote. Batili hubatilisha. Huchafua. Dr. Magufuli hawezi kubaki salama. Amechafuka na hachaguliki. Ni batili toka kwenye ubatili. Watanzania wawe macho.

Dr. Magufuli amepatikana kwa kukiuka kanuni. Yeye atazifuata? Amechaguliwa palipovunjwa sheria na taratibu. Yeye atazilinda za kinchi. Dr. Magufuli,tukimuamini Kingunge,amechafuka hasa. Hachaguliki!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mzee Tupa Tupa wa Ufipa Dar es Salaam.
 
Mzee TupaTupa wa mtaa wa Ufipa endelea kujiridhisha taratibu, tayari Watanzania wanamjua Rais wa Awamu ya Tano,na ni huyo Magufuli.

Najua nawe kama alivyo Kingunge mnapita kwenye wakati mgumu wa kuuzoea ukweli huu.
 
Mzee Tupa Tupa wa Ufipa Dar es Salaam.


Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!

Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.

Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.

Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!
 
Mimi nilidhani Magufuli anachagulika lakini kwa sasa unasema hachaguliki!

Kwa hiyo wewe unadhani nani anachagulika?

Kuniambia fulani hachaguliki bila kunipa alternative ni sawa sawa na kutoa ushauri wa kijinga!


Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!

Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.

Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.

Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!
 
Magufuli ni shida watu hawalali huku punguza spidi yako. Ukawa wamechanganyikiwa, jf wamechanganyikiwa, lowassa team imechanganyikiwa. Sijui itakuwaje
 
Mimi nilidhani Magufuli anachagulika lakini kwa sasa unasema hachaguliki!

Kwa hiyo wewe unadhani nani anachagulika?

Kuniambia fulani hachaguliki bila kunipa alternative ni sawa sawa na kutoa ushauri wa kijinga!
Huyo ni mmoja wa Bavicha walio changanyikiwa..amesahau kuwa hata UKAWA hadi sasa hawana mgombea kutokana na mziki wa Magufuli..
 
Nimetafakari haya maandishi na kuunganisha maneno ya Mzee Kingunge kwa kweli, Haramu huzaa haramu..
 
Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!

Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.

Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.

Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!

Nikuulize swali, Nyerere mnayemsifia kila siku aliongoza kupitia chama gani?
aliishia kusema Bila CCM Madhubuti Nchi itayumba,hatimaye tingatinga linaingia kurekebisha paliposinyaa.

Endelea kumzoea Magufuli kama Rais wako wa awamu ya tano,hauna namna nyingine.
 
Gulio limetoa smart phone fake...!!!
Wenye CCM hao wameanza kuyaanika hadharan. Wengine wanakuja hadharan kuyaeleza yaliyotokea...
 
Back
Top Bottom