Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
Balali vipi
yuko Msoga Mkuu Niliwah Kukutana Nae Mwaka Jana Pale Kwa Matias
Balali vipi
Kwenye hiyo AVATAR yako huyo aliyeko pembeni yako ni nani?
Sasa Leukemia iliyosababisha Ukosefu wa Kinga Mwilini itakuwaje "natural death"?
Upunguani mwingine umevuka mipaka.
Sasa Leukemia iliyosababisha Ukosefu wa Kinga Mwilini itakuwaje "natural death"?
Upunguani mwingine umevuka mipaka.
Hivi mtu aliekuwa anaugua leukemia (cancer) kafia hospital UK na hospital inatoa tamko la sababu za kufa bado tu unaweza kuamini porojo?Kwa mujuibu wa mdao mmoja,huyo Dr.Kao mjukuu wa Nyerere hivyo huenda ana taarifa za kutosha kuhusu nini kilitokea.
Ila kama amedanganya wamshitaki maana kaongea live na ushahidi wa alichosema utapatikana.
Hata hivyo,ni mashaka na serikali kuthubutu kwani huenda wakaumbuka.
Kwa sababu yeye ndie aliemfanyia post mortem examination au ana ripoti ni nini hasa ushahidi wa hoja zake? hawa ma Dr wetu hawa kwa kweli wanaanza kuchosha na hizi tabia za kuropoka ropoka ovyo.
Alienda kumtembelea akaona uko alikolazwa St. Thomas hospital au hata anajua wodi zenyewe zikoje?
Ni wakati sasa wa watu waongo kuitwa kukanusha habari zao maana huku ni kupumbaza jamii au kutafutiwa namna moja ama nyingine za adhabu this is too much sasa kama Dr.s ni waongo kushuka chini inakuaje?
Katika kipindi cha cha malumbano ya hoja kinachorushwa na ITV,mkuu wa chuo cha Bagamoyo, Dr.Leny Kasoga amefunguka na kusema mwalimu Nyerere hakufa natural death.
Dr.Kasoga,akiwa mmoja wa wazungumzji wakuu, aliongeza kuwa hata katika ile hospitali aliofia baba wa taifa, alilazwa katika wodi ya daraja la tatu kwani alichanganyika na wagonjwa wengine kama wahindi n.k kitua ambacho hakikulingana na hadhi yake.
Kwa maoni yangu,huyu Dr. yanaweza kumkuta yaliyomkuta Mbowe baada ya kutangaza maandamano ama kwa kibali au hata pasipo kibali cha polisi.
Nilisikiaga kuwa baada kuona ubinafsishaji wa makampuni ya Uma unakosa uungwaji mkono na Mwalimu, ikabidi wamtanguleze kwa lazima.
Ngoja tutasikia mengi tu.
Hivi mtu aliekuwa anaugua leukemia (cancer) kafia hospital UK na hospital inatoa tamko la sababu za kufa bado tu unaweza kuamini porojo?
Natural gani aliitaka yeye hawa watu wamezidi upotoshaji huku ni kujaza ujinga jamii ugonjwa uliomuua mwalimu huko wazi si siri na wala si wakutengenezwa ni biological disorder tu sasa tena anakuja msomi kuleta hekaya maana yake ni nini au anatafuta nini kama si upotoshaji tu kwakweli hawa watu wamezidi.
We ndio bogus kweli kwa hivyo ukikuta mtoto ana bruises na michirizo ya fimbo, mashavu mekundu kwa vibao na kuna alama ya vidole ata wazazi wakikwambia ajachapwa uwezi kutumia akili kisa we ukuwepo au auna uhusiano na mtoto.kwani wewe huyo dr. Na visent nyerere una wafahamu vipi?? Maana inaonekana unamtindio wa ubongo katika kujadili hoja. Na wewe ni nani kwa nyerere uyaseme hayo?
Afadahli ya yeye inachukua watu wengi kuuangana hili kumuongepea tena aliowapa majukumu ya usimamizi na sehemu nyingi kiasi kwamba bila ya kuweka watu wenye trust ni kasheshe yeye mwenye kuwepo all the time in different areas.anapotoshwa mkuu wa kaya iwe sisi walala hoi,tushazoea kupotoshwa
Mchakato wa kuua kwa kuuza NBC ulianzishwa na Mwinyi. Mkapa anaingiaje?Inawezekana walimkolimba!
Si unaona NBC alikataa kuibinafsisha, na sasa iko mahututi!
Sasa Leukemia iliyosababisha Ukosefu wa Kinga Mwilini itakuwaje "natural death"?
Upunguani mwingine umevuka mipaka.
kama ndio hivyo,basi huenda kuna ukweli.