Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Sipo kwa mantiki ya kusawazisha nipo kwa sababu ya kuwekana sawa hata ninapoponda upinzani inategemea ni jinsi gani wanachukulia some people might see it as positive criticism ambayo inabidi wajirekebishe au kuniona ni kuwa puuzwa it does not matter to me as far as i am concerned im a member obeying the forum rules.Ni kwa sababu mifumo mibovu Afrika, wanapenda watawala kuitumia ili wafaidike na wakitokea wajanja wachache wakawagundua ndo presha kubwa ya watetezi kama nyie inaibuka kusawazisha mambo, lakini ukweli unajulikana
Hayo mawazo ya wengine huwa ayanisumbui nishazoea yamekuwa yakija sana kutoka kwa watu nisiowajua sasa naona kama kawaida tu,