Dont be so defensive honey!. Stick to the point, dont even exaggerate. Dr. Kasoga kasema in a very simple and clear way kwamba Nyerere hakufa natural death!.
No true scientist or any balanced mindset would breath fire for his comment kama wewe. "..alimpima yeye........sijui ma Dr. wa siku hizi...........blah blah .", ishara za hofu na limited listening and reasoning abilities. Any intellectual asingesema kwa emotions kama kuku wa kizaramo anataka kutaga kama ulivyoonyesha wewe.
No research no right to conclude na research ziko nyingi. Mtu kusema taarifa anayoifahamu na kuiamani si lazima yeye ndiye awe amekusanya primary data. Be careful sweetheart!.
Mtu kukupa sehemu ndogo tu ama hitimisho la topic kama Kasoga alivyofanya, haina maana kwamba hana data za kusupport hitimisho lake. Mtu mweye ufahamu kamili asingekimbilia ku refute na kum dis mchumi wa watu bila kutafuta kujua kwa nini kasema hilo.
Kama angetoa maelezo yasiyotosheleza na ukajua hana taarifa wala takwimu sahihi, hapo ungeanza kumkandia.
Lakini kwa picha uliyojianika nayo hapa, inaonekana wewe ndiye una tatizo na wala si la Kasoga. By the way umekosea Kasoga si Dr. wa Siku hizi kama unavyo piga ramli. Na ndiyo maana nikauuliza, unafahamu profile yake? Kama huna hakika na jambo, wala huna sababu ya kulazimisha kufahamu hadi ufahamu.
Na si ajabu ukaja hapa na bubbles kujitnetea kwamba unafahamu ulichokisema na hutaki kuambiwa ukweli niliokuambia na ambako kwa watu waaina yako lazima aukatae. Hata hivyo sihitaji malumbano.
Ongeza maarifa ya utafiti na uchambuzi kama si kubadili fake motives zinazokufanya u defend serikali na ccm hata pale unapojua ziko wrong.
Kwa heri na sirudi tena hapa.
Simjui wala anisaidii hila nachosikia ni kwamba Dr Kasoga alifukuzwa UDSM kwa hiyo bado atakuwa na hasira na serikari.
Swali kwako Dr Kasoga ni mtaalamu wa medical au ana research ya cancer yenye maelezo vinginevyo yeye na mimi tunategemea ripoti ya wa taalamu. Au wewe unafikiri Dr wa elimu ni sacred? kasoma tu wala usitishike ndugu lakini aina maana kwa mwengine akisomeki au awezi kupingwa ata kama angekuwa na researched artciles on the field. How do you think we evolve our understanding kutoka kukatana kama tuko butcher kwenye ma-operation miaka si mingi iliyopita mpaka kutumia lenses kuvunja mawe mwilini na kuflush na mirija.
Wake up mwafrika wewe.