- WanaIramba hawajamuomba anybody tumeona picha za wanaIramba na Mbunge wao majuzi tu, zipo very clear kwamba wapo naye, so hizi blah! balh! blah bakini nazo huko!! ha! ha! ha! vipi Mwigulu na Slaa si ni mtu na Kilembe chake au? ha! ha
!
le mutuz
Baba unajitusi mwenyewe kwa sababu wewe na Dr Slaa mmepishana miaka mitano tu.Kwa hiyo nyote mnaweza kuwa mababu wa Mwigulu.Lakini kwa heshima kubwa nitakuomba wewe nikuite tu Baba ingawa kwa uhakika wewe ni mkubwa kuliko baba yangu.
Sasa Baba hebu tizama mafanikio kati yako na Dr Slaa ambaye amekupita miaka mitano tu.
Dr Slaa amekuwa mbunge miaka 15.Dr Slaa amekuwa Katibu Mkuu wa Chadema kwa miaka karibia 10.Dr Slaa amekuwa Rais wa Mioyo ya wata tangia mwaka 2010.Kwa matikeo ya uchaguzi mkuu uliopita Dr Slaa ndiye kiongozi mkuu wa upinzani nchini.Dr Slaa ni Rais Mtarajiwa 2015.
Kuhusu mwanao Mwigulu Nchemba ni mbunge wa Iramba.Pia ni Naibu Katibu Mkuu CCM.Ni mjumbe wa Sekretariati CCM.Ni mjumbe Kamati Kuu CCM.
Sasa wewe baba kwa umri wako wa kuwa na wajukuu unajivunia mafanikio gani.Naomba unielimishe tu baba kama mtu anavyoelimisha mtoto wake.
C.c Mwita Maranya, SEBM, Shardcole, Crashwise, Mungi.
Last edited by a moderator: