Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7?Hongera sana kamanda Kitila Mkumbo
Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7?Hongera sana kamanda Kitila Mkumbo
Kitila Mkumbo yupi mzee wa masalia MP7?
Naona familia imekamilika una baba Le Mutuz na Babu Dr Slaa hongera kwa kutanua familia.
Hahahaaaa.. nimekuja kugundua wafuasi wa Chadema unafiki ni sehemu ya maisha yao.Kwa kuwa mnataka jimbo leo Kitila Mkumbo anapewa heshima zote wakati juzi juzi mlimaliza hazina yote ya matusi na kumuita msaliti.Namzungumzia Kitila Mkumbo mbunge ajaye wa Iramba.Huyo mwingine simjui mimi ni wa kwako!
Dr Slaa anamzaa Le Mutuz acha kuadjust umri wa babu.Wote ni Baba zangu kwa sababu Dr Slaa kamzidi Le Mutuz kwa miaka 5 tu!