Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Poa!Ungesoma post ya niliyem-quote usingeandika ulichoandika.
Poa!Ungesoma post ya niliyem-quote usingeandika ulichoandika.
Bila kusahau kesi lukuki za watumishi wa umma kusimamishwa kuanzia Masamaki. Na wote waliotumbuliwa majipu...ni rahisi sana kucheza na akili za watanzania...
ndomana anaongea asiyo yajuaKigwangala hajawahi kufanya kazi ya tiba na wala hospitali za serikali. Alijiunga na vi NGOs mara tu baada ya mafunzo yake ya internship. Hivyo hana uzoefu wo wote kwenye nyanja hiyo na ni layman. Hajui hizo damu zinapatikanaje huko zonal blood banks, hajui kazi za hao waganga wakuu wake, hajui mamlaka yake kwa akina Dr. Mwaka etc etc
Mkuu umemichekesha sana.....Ni uzembe tu wa mganga mkuu. Manyara ina mifugo mingi sana, wanashindwa hata kuchukua damu ya ng'ombe wakaiweke huko benki?
Common sense is not commonHuyu Kigwangala kuna mambo ambayo huwa anashindwa kutumia" common sense"
Huyu Kigwangala kuna mambo ambayo huwa anashindwa kutumia" common sense"
Na Jina analotumia sio lake yeye anaitwa Said Nassor Bagaile.Cjawai kumkubali kigwangala hata siku moja ni mzee wa kukurupuka tu ametusumbua sanaa pale bugango medical school wakat nasoma