Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Kuna watu na hakika wamesafiri toka Dar kwa ajili ya hukumu naomba watujuze nini kinaendelea hili jimbo si ndio tuliambiwa Ra amelipaisha kwa maendeleo badala ya kupata up to date post nyingi ni za kujua nini kinaendelea
 
Yaan mkisikia tu haki imetendeka kwa kumvua ubunge Dr. Kafumu ujue jimbo limekwenda na maji kwa CHADEMA. Mwisho wao umefika. Peoples'.....
 
bila shaka tutashuhudia vituko vingine zaidi vya mahakama zetU kwani hata hizo post walizopewa zimepatikana kimagumashi
 
Mimi naomba ccm ishindwe angalau migogoro inayopandikizwa ya waislam kupitia bakwata ipungue. Maana ccm kila kukucha wanabuni mbinu za waislam kukosana ili ccm iendelee kutetea pesa wanazotoa kwa madhehebu ya wakiristo (mou)
Kwa ccm ni win win situation, but for CDM ni russian roulette. Let us cross our finger and see the CDM next move
 
Mahakama ccm haiwezifanya kitu kama hicho kwa hali ilivyo sasa yakutokuwa na uhakika
 
Naambiwa jaji ameanza kusoma judgement yake.

jaji ameanza kusoma mda mtu..na mambo mawili ya daraja na ahadi ya mahindi yameonekana ni hatia kwa kwafumu...kuna jamaa yuko mahakamani amenihabarisha
 
nadhani leo fumu akifumiliwa ukombozi waislam watafurahi. maana ccm inalitumia bakwata kujenga chuki kati ya waislam kwa waislam
Sote tunazaliwa ni WATANZANIA. Hakuna anayezaliwa ni MUISLAAM au MKRISTO. Hizi DINI za kuletewa zinawahangaisha hivo kwa nini?
 
jaji ameanza kusoma mda huu..na mambo mawili ya daraja na ahadi ya mahindi yameonekana ni hatia kwa Kafumu...kuna jamaa yuko mahakamani amenihabarisha

tunashukuru mkuu endelea kuwasiliana nae ili atujuze maana JF leo hatuna mtu kule mahakamani!!
 
Kwenye hii kesi JF tume-fail, hakuna mtu huko Igunga? hakuna UPDATE yoyote wapi Yeriko Nyerere mzee wa LIVE
 
jaji ameanza kusoma mda mtu..na mambo mawili ya daraja na ahadi ya mahindi yameonekana ni hatia kwa kwafumu...kuna jamaa yuko mahakamani amenihabarisha
Are u sure tuanze kufurahi?
 
Sote tunazaliwa ni WATANZANIA. Hakuna anayezaliwa ni MUISLAAM au MKRISTO. Hizi DINI za kuletewa zinawahangaisha hivo kwa nini?

kama watz mbona ccm haipeleki migogoro kwa taasisi za wakiristo? tatizo la viongozi wengi wa kiislam wapo CCM kutafuta umaarufu tofauti na wenzao. wakiona MWANYA ndipo hapo hapo kama walivyofanya kwa ajili ya MOU
 
Hukumu ina kurasa 127 hivi.Hadi sasa asilimia 80 ya sababu za CHADEMA zimekubaliwa.Lakini Jaji aweza kugeuka mwishoni.Ngoma inogile...
 
Hukumu ina kurasa 127 hivi.Hadi sasa asilimia 80 ya sababu za CHADEMA zimekubaliwa.Lakini Jaji aweza kugeuka mwishoni.Ngoma inogile...

Asante kwa taarifa hawa majaji(voda fasta)hawakawii kugeuza mbili kuwa tano.
 
Back
Top Bottom