tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
uzoefu (wa siku za kusoma hukumu wa kesi za kupinga matokeo ya ubunge) unaonyesha kwamba kama FFU wapo full kwa shari (magari ya maji ya kuwasha, askari makumi kadhaa, mbwa, mabomu ya machozi, risasi za mpira na moto) basi ujue ushindi upo kwa CCM.