Wale missiontown anzeni kutafuta fursa mpya maana 'kupiga deal' kumefikia tamati. Watumishi wa umma badilikeni 'business as usual' ndio bye bye. Wafanyabiashara jiandaeni kulipakodi kwa mujibu wa sheria 'mambo ya hongo' kwishney. Na kwa wachapazi hii ni fursa ya kula 'matunda mema' ya jasho lao. Ahsante na j'pili njema!
Hatutaki ajenge misikiti,, tunachotaka akubali uanzishwaji wa mahakama ya kadhi, na ihudumiwe na serikali
Ukawa njia ya ikulu Nyeupe.
Hana ubavu huo, aanzie huko huko kwenye chama chake.
Jk hanaimani na makufuli.kajikutatu amejikwaa kwa asiyemtarajia.sasa imekula kwa ccm maisha
Umofia kwenu wana JF,
Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba ndogo. Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa nane (kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously kuanzia mwanzo mpaka mwisho?
Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa, hafai kuongoza nchi hii.