geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 644
Upende usipende Lake Zone ndani ya MAGOGONI na sio MANVI wako tangulia kujiua ufe haraka kabla ya Boss wako hajafa maana afya yenyewe mbofumbofu
Kwa akili hizo hutakaa ujue hata jinsi siasa za nchi hii zinavyofanywa. Kwa akili yako unadhani kama sio Lowassa kuruhusu kambi yake na wajumbe waaminifu kwake toka kanda ya ziwa kujiunga kambi ya Magufuli angepenya?.Wala sidhani kama Magufuli alikuwa na kambi yoyote aliyowekeza na inayoeleweka. Ashukuru tu vita ya Lowassa na Membe,nduguye,dada yake na pia mwanao ndio iliyompa ulaji Magufuli na wala sio kutokea kwenye tano bora.