Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Ndugu zanguni upo msemo unasema Mungu hadhiakiwi na chochote apandacho mtu ndicho avunacho. Mh ndugu Lowasa aliamini akikusanya matirion ya pesa kwa kufanya ma deal haram atakuja kuwaonga wa Tz na mwisho watampigia kura, akazidi kujidanganya kwakutoa ma milion kwenye misikit na makanisa ili Wazidi kumuombea dhambi zake zipungue. Kumbe Mungu alikumbuka dhambi zake toka alipo anza kupiga deals aram ambazo kwa wakati mwingine ziliwatesa watu weng na hata wengine kupoteza maisha, Mungu alikumbuka mchezo wake wakuwaingiza watu kwenye mikenge ili yeye afaid wakat wenzake wakifukuzwa kaz nakuonekana wabaya na mengine meng siwez andika ila Mungu alimkata Lowasa, wala sio kamati kuu au nani! Mungu alimkataa Lowasa, Mungu alisema atatumia mpaka senti yake ya mwisho ila kamwe sii yeye au yeyote ktk familia yake atakuja kuwa rais. Mungu anajibu maombi Mungu anapenda mwanadam mwenye kiburi kama Lowasa ajuwe Yeye yupo na hakuna kama Yeye na tena anaenda mbali zaidi anataka mwisho kila got lipigwe. Lowasa ni kivul twakiona ila yeye hayupo alishapotea na sasa upepo upo kwa magufuli. Tusubiri Mungu akatukuzwe.
Wewe mbona umemkomalia Lowasa,alikufanya nini? Kila baada ya sekunde unapost Lowasa
 
Umofia kwenu wana JF,

Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba ndogo. Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa nane (kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously kuanzia mwanzo mpaka mwisho?

Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa, hafai kuongoza nchi hii.
Ubarikiwe sana
 
Kufufuliwa Air Tanzania, SGR, Stiglers Gorge ni mambo ambayo historia itakukumbuka. Heko
 
Back
Top Bottom