Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,509
- 1,343
Huyu mtu sijui karogwa au sijui vipi.....
Hii kauli yake imeniacha domo wazii.....huyu jamaa hivi yuko siriasi kweli?
Hili ndio tatizo la kupewa Udokta kwenye meza badala ya kuiandikia mtihani. wenzetu wanachagua viongozi sisi tunachagua majuha, matokeo yake sote tunaonekana majuha