kwa hili amedhihirisha uhayawani wake hata kwa wasio mjua.Huyu mtu sijui karogwa au sijui vipi.....
Hii kauli yake imeniacha domo wazii.....huyu jamaa hivi yuko siriasi kweli?
Wewe,na urembo wote huo unakuja kujisaidia hapa mbele za watu hata haya huna.
Huyu mtu sijui karogwa au sijui vipi.....
Hii kauli yake imeniacha domo wazii.....huyu jamaa hivi yuko siriasi kweli?
Nina akili timamu tena sana tu mkuu! Au umesahau pia alishawahi kusema ukitaka kula na wewe sharti uliwe je unabisha?
Tigo...
bwahahaha kuna ka ring tone ka kauli yake ile.....Haya mwambie Jk awe nayo,manake alitamka hayo mbele ya Bunge tukufu la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.....bora mie najisaidia nitafanikiwa....si wanasema jisaidie na Mungu ndo atakusaidia zaidi....au??
Huyu mtu sijui karogwa au sijui vipi.....
Hii kauli yake imeniacha domo wazii.....huyu jamaa hivi yuko siriasi kweli?