Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Huyu mtu sijui karogwa au sijui vipi.....
Hii kauli yake imeniacha domo wazii.....huyu jamaa hivi yuko siriasi kweli?nunueni magari mengi zaidi ili wawekezaji binafsi wawajengee barabara