Dr Harrison Mwakyembe atua Tabora kwa gari moshi leo

Dr Harrison Mwakyembe atua Tabora kwa gari moshi leo

vyote sawa
ni zaidi ya km 450
unategema iwe safari ya saa ngapi kwa gari moshi ambalo sio la umeme?
kumbuka pia kusimama vituoni kwa muda kupishana na tren zingine kama za mizigo nk
hiyo ndi hali halisi ya nchi yetu
kama ushasafiri kuanzia kigoma kwenda tabora utajua umbali ninaotaja
kwa ndege ni dk 40 hivi au 50.

lets hope tukishakuwa na umeme wa uhakika
tutajenga reli mpya ya kisasa inayoruhusu tren za umeme
tutakodi treni za siemes german tutazitumia,tutawalipa kulingana na mkataba utakavoruhusu hadi tumalize deni
yote haya tukipata viongozi makini na wazalendo ila sio ndani ya chama chetu mfu,


Siemens-ICx.jpg


180px-90006_at_Marks_Tey_2.jpg
Mkuu ahsante, aliyasema hayo Dr Slaa wakati wa campain CCM wakamponda wao wanangangania trein za 19 kweusi, angalia hapo!!!!
 
Mkuu ahsante, aliyasema hayo Dr Slaa wakati wa campain CCM wakamponda wao wanangangania trein za 19 kweusi, angalia hapo!!!!
Fwedha zinazoibiwa nchi hii Mkuu ni nyingi kufanya vitu namana hii inawezekana, mbona Mhe Mkapa alijenga daraja la Nanyumbu???
 
Baada ya kutua kwa gari moshi Tabora then what?

kiongoz wetu lazma awe na sis. aishi na sie. of course angalau kwa kias au namna fulan. haya mambo unasimamia reli halaf hu- experience kupanda reli unayosimamia haifai. hebu chukulia mobutu mara moja moja ku safir na gari toka sehem 1 ya zaire mpaka ingine. asingeweza maana hakupata kufikiria kutatua tatzo hlo.
 
And he must have pocketed a sizable per diem for the ministers visit......a merry Christmas to him afterwards
Mkuu naona umechanganyikiwa wewe pale linapofanyika jambo la kupongeza hata limefanywa na adui yako lazima upongeze!!!!Mbona timu ya mpira kama ni pinzani ikicheza vizuri unashangilia????

 
CCM wamekosa viongozi kweli!

Huyu mnafiki na mtu wa kujipendekeza anaonekana bonge la kiongozi......!!
 
Mkuu naona umechanganyikiwa wewe pale linapofanyika jambo la kupongeza hata limefanywa na adui yako lazima upongeze!!!!Mbona timu ya mpira kama ni pinzani ikicheza vizuri unashangilia????


Pasi na shaka sijachanganyikiwa hata kidogo.....kwani nimesema uongo? Mbona ni ukweli uilo wazi kabisa watu kuchukua allowances na per diems wakati wa ziara kama hizi? Nithibitishie uongo wangu ntakuomba radhi......hebu waone mwenyewe

attachment.php
 
Alikuwa Kigoma muulizeni kuhusu Bandari ya Kigoma nahisi hapa kakuta Ngoma nzito maanake kaondoka kimya kimya.
Na leo naona vikao vya CCM vinaendelea kwa Mkurugenzi wa kampuni iliyokodishiwa Bandari.
 
nadhani kwa hili tusianze kuuliza so what? what nini?
kiongozi mzuri ni yule ambae hakai ofisini kusubiri taarifa
hajasafiri bure saa zote hizo ana mkakati wa kuiboresha reli ya kati
Injinia asipoenda field barabara au daraja litajengwa?
mwakyembe kaenda field sasa tunahoji kwanini kaenda field mnadhani maendeleo yatakujaje?
 
mm nnasubiri mwisho wa mchezo itakuwaje. maana kuna maigizo mengi kwa wanasiasa wetu. hatutaki apande treni ili tumuone yuko na ss, kua anavaa viatu vytu ss wanyonge laaa. tunachotaka mipango madhubuti na utekelezaji ulio wazi wa kutuhakikishia kua tunatatua shida zetu na kusogea mbele

watanzania wenzangu tusiwe wepesi wa kushangiria maigizo kisha ikawa kama kikombe cha babu, tunashangiria kwa shangwe na kuacha yetu tukiamini tiba imepatikana kumbe ni usanii na mwishowe ni kusaga meno
 
kusimamisha shughuli za maendeleo na kwenda kumpokea waziri kwenye station inayonuka kwa uchafu na mataruma chakavu kama inavyoonekana ni matokeo ya kuwa na viongozi wenye upeo finyu.


Pasi na shaka sijachanganyikiwa hata kidogo.....kwani nimesema uongo? Mbona ni ukweli uilo wazi kabisa watu kuchukua allowances na per diems wakati wa ziara kama hizi? Nithibitishie uongo wangu ntakuomba radhi......hebu waone mwenyewe

attachment.php
 
kamati nzima ya ulinzi wa mkoa wa Tabora chini ya RC wakiwa station kumsubiria waziri ambaye amepanda guta kama picha inavyooneka!


huna haja ya kushangaa hao ndo viongozi wetu!



Pasi na shaka sijachanganyikiwa hata kidogo.....kwani nimesema uongo? Mbona ni ukweli uilo wazi kabisa watu kuchukua allowances na per diems wakati wa ziara kama hizi? Nithibitishie uongo wangu ntakuomba radhi......hebu waone mwenyewe

attachment.php
 
Waziri wa uchukuzi awasiri mkoani Tabora leo tokea Kigoma.


.

attachment.php

Akiteremka.

Si alikataza kupanda First Class huyu jamaa??? Hili behewa namna 1170 mbona ni la First class????

Anyway,

Nitampongeza siku nikishuhudia akiambatana na treni la mizigo kutoka Dar hadi Kigoma au Isaka Shinyanga maana hili ndio tatizo kubwa linalosababisha msongamano wa mizigo Bandarini na ndio kitakachosaidia uchumi wa nchi.

Treni za abiria na daladala lake la dar es salaam ni kwa ajili ya kutafuta cheap popularity tu lakini kiuchumi na kwa mnufaa ya watanzania kwa ujumla bado sana.

najua mtapinga lakini ndio ukweli
 
Nina wasiwasi sana na haya matendo!
 
hata angekwenda kwa miguu,kwa kua yupo ccm kwangu mimi ni msaliti tuh,na naisitiza achukiwe kma wanavochukiwa mafisadi,huwez kuishi ccm ukaepuka uhujum wa nchi hii,ipo siku tutaskia tuh
 
Back
Top Bottom